Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
October sio mbali, watafurahi.Walipoungana na ACCACIA walifeli.
Maandamano ya ukuta yalifeli
Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli
Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli
Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli
Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU
Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama
Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Anguko la Magufuli laja hata kabla ya october
Walipoungana na ACCACIA walifeli.
Maandamano ya ukuta yalifeli
Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli
Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli
Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli
Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU
Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama
Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Hakuna Teuzi, Fanya kaziWalipoungana na ACCACIA walifeli.
Maandamano ya ukuta yalifeli
Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli
Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli
Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli
Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU
Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama
Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.Walipoungana na ACCACIA walifeli.
Maandamano ya ukuta yalifeli
Walipoanzisha uchafuzi kibiti na amboni Tanga walifeli
Walipoanzisha agenda ya nchi kutotawalika walifeli
Walipoanzisha scandal ya Kupigwa blancons yule wa Ubeligiji ili kuleta taharuki na kuhamasisha fujo walifeli
Hoja yao ya kusema kuwa kuna udikteta Tanzania imejidhihitisha wakati wa Corona kuwa Tanzania Rais wake si tu kwamba ana huruma pia ni mcha MUNGU
Wakaanzisha Sera ya kuzizuia ndege kwa hoja za madeni wamekwama
Wakaenda kuzuia mkopo Bank ya Dunia wamekwama
Anguko la Magufuli laja hata kabla ya october
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.
Hahahaha nimeipenda hiiNa sasa hivi wameileta Covid-19 bila shaka mpo imara sana... Make tumeshuhudia wakiendelea kufeli..
Pigeni kazi... Chapeni kazi...
ccm mbere kwa mbere...
Wanaleta hoja ya kwanini rais hayupo mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya corona, na hoja yao imeshafeli kwani wameambiwa rais sio nesi useme aende moja kwa moja katika kuwahudumia wagonjwa.
Tusubiri kwa maana tumezoea kusubiri. hata tuambiwaye yu karibu sana kuja kutuchukua wazima na wafu, tumesubiri hata kwa karne sasa. Tutasubiri😂😂Anguko la Magufuli laja hata kabla ya october
Hujaona Mwigulu kalamba shavu kimasihara kwa hizi hizi porojo?Wamepigiwa kipyenga,tutawakoma!Hakuna Teuzi, Fanya kazi
Hakuna pesa ya bure ukitegemea umbea
Mkuu Bome-e,kuna kipindi nilikutana na mama mmoja huko Dodoma,akanisimulia kuhusu mtoto wake alivyo mpumbavu. Kwa ufupi alisema kuna wamama hawajifungui bali "wanatoa uchafu toka tumboni". Sasa kwa kweli nimeamini kuwa kuna "uchafu hutolewa toka tumboni".Ni haki yako kukichukia chama au mtu na uko sawa kabisa,ila in the process usishushe heshima na hadhi yako kwa kiwango hiki!Huku ni kumdhalilisha hata aliyekuumba na kukupa akili timamu!Kuwa objective na acha fitna na majungu yasiyo na maana!