Kila siku Najiuliza Sipati Jibu

Kila siku Najiuliza Sipati Jibu

Nimekuwa na hili swali kwa muda mrefu sana.

Najiuliza "Hivi kwanini napenda sana kubembelezwa"???? NA kubembeleza????

Mwanzoni Husband alikuwa anashindwa ila siku hizi ha kila mara anafanya hivyo.

Ni kudeka, au ni kitu gani. Wakati nikiwa msichana mdogo nikiwa na mvulana usiponibembeleza nakupiga chini ila ukinibembeleza aahhh sikuachi.

Tena napenda yale maneno mazuri matamu matamu (Na mimi huwa nayatumia kwa sana) Baby, Darling, My Love, Sweetie, nk

NB: BE marufuku kuchangia hapa

Watu wengine bwana, kwani lazima uanzishe thread?? Wakati mwingine kama huna kitu cha maana unatulia na kusoma threads za wenzio.
 
Watu wengine bwana, kwani lazima uanzishe thread?? Wakati mwingine kama huna kitu cha maana unatulia na kusoma threads za wenzio.

Mkuu, kwanini watu wanakwenda kuogelea kwenye masweeming pool, ziwani au baharini halafu wanakuja kuoga tena nyumbani, au kwanini mtu anakwenda bar wakati friji yake ina vinywaji almost vyote na kwanini thread unayoiona haina maana (ww) imechangiwa na member wa kutosha tu ukiwemo wewe? ukipata majibu sahihi utarudi tena Karibu
 
Mkuu, kwanini watu wanakwenda kuogelea kwenye masweeming pool, ziwani au baharini halafu wanakuja kuoga tena nyumbani, au kwanini mtu anakwenda bar wakati friji yake ina vinywaji almost vyote na kwanini thread unayoiona haina maana (ww) imechangiwa na member wa kutosha tu ukiwemo wewe? ukipata majibu sahihi utarudi tena Karibu
<br />
<br />
Dear mpotezee hujaona mie nimemgongea thanx na kwenda zangu. Mpotezee plz
 
Dena Amsi! Mmh ukija huku kwe2 unawakuta wataalam wa kukubembeleza sikiliza.
Mayo wane zogho shii,cho!zogho twibwone mkaya,nakwambeleje kozuura ngwada?olyaga hene?bac hapo full kuuma vidole unajua wasukuma wanajua kulea hasa ukiwa mweupe
 
<br />
<br />
Dear mpotezee hujaona mie nimemgongea thanx na kwenda zangu. Mpotezee plz

Si utani anataka kutuharibia giza la leo... ntafutie tenda basi Wapigangoma ninao, wanenguaji ninao (tena micharuko hiyo) ha ha haaaa!
 
Si utani anataka kutuharibia giza la leo... ntafutie tenda basi Wapigangoma ninao, wanenguaji ninao (tena micharuko hiyo) ha ha haaaa!
<br />
<br />
Sitakuangusha ktk hilo
 
Dena Amsi! Mmh ukija huku kwe2 unawakuta wataalam wa kukubembeleza sikiliza.<br />
Mayo wane zogho shii,cho!zogho twibwone mkaya,nakwambeleje kozuura ngwada?olyaga hene?bac hapo full kuuma vidole unajua wasukuma wanajua kulea hasa<br />
<br />
We koku uliniambia ww mhaya usukumani unatafuta nn ulimhola mwanawane? Oliyomba kinehe?
 
Dena Amsi! Mmh ukija huku kwe2 unawakuta wataalam wa kukubembeleza sikiliza.<br />
Mayo wane zogho shii,cho!zogho twibwone mkaya,nakwambeleje kozuura ngwada?olyaga hene?bac hapo full kuuma vidole unajua wasukuma wanajua kulea hasa<br />
<br />
We koku uliniambia ww mhaya usukumani unatafuta nn ulimhola mwanawane? Oliyomba kinehe?
Mhola doho dena ndoho mhayo.nde msukuma gete gete.ok wakora waitu offcause na chihaya nakijuamo wakora dena kasinge 2labonangana.
 
we mbona mnaweka upukurupukuru jamani, halafu hapo umeandika BE marufuku kuchangia hapa, unamaanisha nn na BE? Building Economics?
 
we mbona mnaweka upukurupukuru jamani, halafu hapo umeandika BE marufuku kuchangia hapa, unamaanisha nn na BE? Building Economics?
<br />
<br />
Nimekugongea thanx kwa useful post hii
 
&lt;br /&gt;<br />
Mhola doho dena ndoho mhayo.nde msukuma gete gete.ok wakora waitu offcause na chihaya nakijuamo wakora dena kasinge 2labonangana.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kokudo unakujua maganzo, shybush, utemini, songwa, kolandoto kwa dr kiberiti wewe. Habari ya ngokoro majengo/matope?
 
Nikilia nabembelezwa kwa upendo, mida ya kubembeleza imewadia
 
. mnataka hata mnapofanya kosa msiambiwe kwa ukali...

Mkuu kwa hilo nawatetea, Binadamu yeyote hapendi kuelezwa kwa ukali pale anapokosea.. Kwa ujumla ukali au kukaripia karipia mtu siyo kabisa!
 
Mkuu kwa hilo nawatetea, Binadamu yeyote hapendi kuelezwa kwa ukali pale anapokosea.. Kwa ujumla ukali au kukaripia karipia mtu siyo kabisa!


Umeona eeeee we umesema neno
 
Mkuu kwa hilo nawatetea, Binadamu yeyote hapendi kuelezwa kwa ukali pale anapokosea.. Kwa ujumla ukali au kukaripia karipia mtu siyo kabisa!
<br />
<br />
We una akili sana
 
Back
Top Bottom