CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Nje ya madaMlivyo mbumbumbu kwenye mkutano mkuu mtaambiwa mafanikio ya msimu huu Inonga kucheza nusu fainali AFCON na mtashangiliaView attachment 2893715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nje ya madaMlivyo mbumbumbu kwenye mkutano mkuu mtaambiwa mafanikio ya msimu huu Inonga kucheza nusu fainali AFCON na mtashangiliaView attachment 2893715
Ila kweli hapa Simba SC tulichemsha sana.Mlivyo mbumbumbu kwenye mkutano mkuu mtaambiwa mafanikio ya msimu huu Inonga kucheza nusu fainali AFCON na mtashangiliaView attachment 2893715
footwork alionesha vizuri tu japo hakupata msukosuko kabisa,magoli yote aliyofungwa ni mabeki wake hawakuwa makiniHakika Ivorry Coast wamenipa Furaha Kubwa jana kwa Kutinga Kibabe Semi Final ya AFCON kwa Kuwatoa / Kuwafurumusha rasmi Mashindanoni Timu ya Taifa ya Mali yenye Mchezaji Mmoja kutoka Klabu Moja NISIYOIPENDA Tanzania.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
mentalHakika Ivorry Coast wamenipa Furaha Kubwa jana kwa Kutinga Kibabe Semi Final ya AFCON kwa Kuwatoa / Kuwafurumusha rasmi Mashindanoni Timu ya Taifa ya Mali yenye Mchezaji Mmoja kutoka Klabu Moja NISIYOIPENDA Tanzania.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Kwa hiyo Manula ni zaidi ya Diarra?Hakika Ivorry Coast wamenipa Furaha Kubwa jana kwa Kutinga Kibabe Semi Final ya AFCON kwa Kuwatoa / Kuwafurumusha rasmi Mashindanoni Timu ya Taifa ya Mali yenye Mchezaji Mmoja kutoka Klabu Moja NISIYOIPENDA Tanzania.
Haupendi UTANI achana na huu Uzi!
Usitegemee Mangungu kufanya jambo la maana pale simbaIla kweli hapa Simba SC tulichemsha sana.
Manula kamuacha mbali sana DiaraKwa hiyo Manula ni zaidi ya Diarra?
Ila aliyechapia hiki Kiingereza hapa chini yeye siyo Mental?mental
Hapana ni zaidi ya Mumeo.Kwa hiyo Manula ni zaidi ya Diarra?
Haupendi utani achana na huu uzi!!!!Yaani Lionel Messi amuombe Msamaha Simon Msuva? Utasubiri sana Mkuu.
Tangu Diarra akanyage Tanzania Manula ana tuzo gani?Manula kamuacha mbali sana Diara