Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #21
AyaSio mbaya ni ustarabu alio jiwekea muhusika
Under 18 sina cha ku comment 🙆🏿♂️
Kwahiyo we ukifanya huwa hauogi?Jaman anashindwa tu kumwambia kama mwanamke inatakiwa awe msafi,Kuna harufu ya shombo jamaa anashindwa kuivumilia
Binafsi pia siwezi kumaliza round niunganishe raund nyingine bila kuoga labda niwe njombe iringa au Arusha
Sio dar
njoo ghetto nije nikuonyeshe maana haisimuliki!
Nitakuja na mume wangunjoo ghetto nije nikuonyeshe maana haisimuliki!
DuHiyo mbinu iwafikie wanaume wite,ukitoka kunyandua breki ya kwanza bafuni kojoa mkojo,osha dudu,oga inaepusha nengi sana
Huna mchango wa mada ball makasirikoAnapenda usafiri eeee ., mpe na kyupi akufulieee
Labda kukojoa lakini kuoga sio kwa muda huo huo pia inategemea mazingira ..Ile harufu og ya k inavutia ila ukikutana na kurumbembe chumba kinageuka kuwa bucha ya samaki, na mwili unageuka kuwa samaki mtupu hapo Kwann usikimbilie kuoga..maana samaki yake majiKwahiyo we ukifanya huwa hauogi?
Amemtambulisha Mchumba wake akiwa ameweka Bleach Kichwani, wakwe wamemkataa, afanyaje?
Samahani Nimekuwa buzy naona kama napitwa Kwani wanawake wenye bleach kichwani wana shida gan? Mbona kila mahali wanakataliwa? Nini mbaya nyiee? Angalieni Tabia na Roho ya Mtu rangi ni upendo acheni ushamba jamaawww.jamiiforums.com
kasongo wewe!Nitakuja na mume wangu
Anashindwa kumwambia ukweli hapendi harufu ya kipapa. Kama ni dhambi anaenda kuungama kwa paroko!Jirani: Money penny njoo
Money penny: Mekuja jirani nambie
Jirani: Mepata bwana Mkatoliki, sa kila tukimaliza tendo la ndoa anakimbilia kuoga fastaa
Nikamwuliza shida nini, akasema amefundishwa kuwa tendo la ndoa ni dhambi, so akifanya anatakiwa aoge haraka kuondoa dhambi
Money penny: Du, sasa utafanyaje?
Jirani: Hata sijui nifanyaje, kumwambia nataka nashindwa jambo la imani ni gumu sana ila tendo la ndoa lake traaaamuuu
Haya weee, wale wakatoliki wenzake na wakristo wengine muje mumsaidie
Kuoga si Sakramenti ya Ubatizo.Uwee sio ubatizo?
Amemtambulisha Mchumba wake akiwa ameweka Bleach Kichwani, wakwe wamemkataa, afanyaje?
Samahani Nimekuwa buzy naona kama napitwa Kwani wanawake wenye bleach kichwani wana shida gan? Mbona kila mahali wanakataliwa? Nini mbaya nyiee? Angalieni Tabia na Roho ya Mtu rangi ni upendo acheni ushamba jamaawww.jamiiforums.com
Tena mwiko baada ya kusonga ugali sharti ukoshwe 🙂Kiru
Amemtambulisha Mchumba wake akiwa ameweka Bleach Kichwani, wakwe wamemkataa, afanyaje?
Samahani Nimekuwa buzy naona kama napitwa Kwani wanawake wenye bleach kichwani wana shida gan? Mbona kila mahali wanakataliwa? Nini mbaya nyiee? Angalieni Tabia na Roho ya Mtu rangi ni upendo acheni ushamba jamaawww.jamiiforums.com
Na usingizi huwa murwaMi kila nikifanya mapenzi lazima nikaoge mara tu baada ya kutoa wadhungu. Siwezi kupumzika au kulala bila kuoga