Kila tukimaliza kufanya mapenzi, anakimbilia kuoga, shida nini?

Kila tukimaliza kufanya mapenzi, anakimbilia kuoga, shida nini?

Jirani: Money penny njoo

Money penny: Mekuja jirani nambie

Jirani: Mepata bwana Mkatoliki, sa kila tukimaliza tendo la ndoa anakimbilia kuoga fastaa

Nikamwuliza shida nini, akasema amefundishwa kuwa tendo la ndoa ni dhambi, so akifanya anatakiwa aoge haraka kuondoa dhambi

Money penny: Du, sasa utafanyaje?

Jirani: Hata sijui nifanyaje, kumwambia nataka nashindwa jambo la imani ni gumu sana ila tendo la ndoa lake traaaamuuu

Haya weee, wale wakatoliki wenzake na wakristo wengine muje mumsaidie
No my lady Money Penny
mbususu ya jirani yako inatoa harufu kali sana hiyo, ila muungwana hataki kumwambia ukweli pisi kali.

Mwambie jirani yako akatibu pid 🐒
 
Huyo jamaa ndio mimi, nikipiga cha kwanza naenda kuoga natulia kidogo nakula kirosho mbili tatu napanda tena napiga cha pili, naenda kuoga tena, nakunywa maji lita moja kisha napanda tena napiga cha tatu . Naenda kuoga tena kisha stori mbili tatu na mamaa nalala kesho mzigoni.
Why?
Like why?
 
Labda kukojoa lakini kuoga sio kwa muda huo huo pia inategemea mazingira ..Ile harufu og ya k inavutia ila ukikutana na kurumbembe chumba kinageuka kuwa bucha ya samaki, na mwili unageuka kuwa samaki mtupu hapo Kwann usikimbilie kuoga..maana samaki yake maji
 
Jirani: Money penny njoo

Money penny: Mekuja jirani nambie

Jirani: Mepata bwana Mkatoliki, sa kila tukimaliza tendo la ndoa anakimbilia kuoga fastaa

Nikamwuliza shida nini, akasema amefundishwa kuwa tendo la ndoa ni dhambi, so akifanya anatakiwa aoge haraka kuondoa dhambi

Money penny: Du, sasa utafanyaje?

Jirani: Hata sijui nifanyaje, kumwambia nataka nashindwa jambo la imani ni gumu sana ila tendo la ndoa lake traaaamuuu

Haya weee, wale wakatoliki wenzake na wakristo wengine muje mumsaidie
Shida hapo ni K inanuka sana. Sema Jamaa hataki mambo mengi anaenda bafuni kusafisha mashine yake.
 
Itakuwa anafuata mafundisho ya Ex President wa SA Jacob Zuma kama alivyoiambia mahakama kwnye kesi ya ubakaji iliyokuwa kimkabili.
Zuma alisema baada yakufanya ngono zembe na mwanamke mwenye Ukimwi alikwenda kuoga ili
kupunguza hatari ya kupata maambukizi.
Zuma alisema baada yakufanya ngono zembe na mwanamke mwenye Ukimwi alikwenda kuoga ili
kupunguza hatari ya kupata maambukizi.
Anasema hakutumia condom kwa sababu aliamini hatari ya yeye kupata ukimwi ilikuwa ndogo,
Alsema bada ya ngono zembe na mwanamke huyo alikwenda kuoga kwani aliamini ni njia mojawao ya
kupunguza hatari ya kuambukizwa.
SA's Zuma 'showered to avoid HIV' (BBC News), 05 April 2006 | South African History Online

https://nation.africa/kenya/news/i-showered-to-reduce-hiv-risk-zuma-tells-rape-trial-514856
 
Back
Top Bottom