Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Ndefu sanaItakuwa anafuata mafundisho ya Ex President wa SA Jacob Zuma kama alivyoiambia mahakama kwnye kesi ya ubakaji iliyokuwa kimkabili
SA's Zuma 'showered to avoid HIV' (BBC News), 05 April 2006 | South African History Online
https://nation.africa/kenya/news/i-showered-to-reduce-hiv-risk-zuma-tells-rape-trial-514856
Turahisishie
Mpenzi anayeongea vs mpenzi asiyeongea wakati wa tendo la ndoa, yupi unampenda zaidi?
Haya nimeulizwa huku Kuna wale wana wapenzi wao wakati wanafanya tendo la ndoa uwa wanapenda kuongea ongea mpaka mwisho inaitwa dirty talk Kuna wale wapenzi ambao kwenye tendo la ndoa wanakaa kimya mwanzo mwisho hata miguno hamna Yupi unampenda zaidi? Yupi unamkubali zaidi?