Kila tukimaliza kufanya mapenzi, anakimbilia kuoga, shida nini?

No my lady Money Penny
mbususu ya jirani yako inatoa harufu kali sana hiyo, ila muungwana hataki kumwambia ukweli pisi kali.

Mwambie jirani yako akatibu pid 🐒
 
Why?
Like why?
 
 
Shida hapo ni K inanuka sana. Sema Jamaa hataki mambo mengi anaenda bafuni kusafisha mashine yake.
 
Itakuwa anafuata mafundisho ya Ex President wa SA Jacob Zuma kama alivyoiambia mahakama kwnye kesi ya ubakaji iliyokuwa kimkabili.
Zuma alisema baada yakufanya ngono zembe na mwanamke mwenye Ukimwi alikwenda kuoga ili
kupunguza hatari ya kupata maambukizi.
Zuma alisema baada yakufanya ngono zembe na mwanamke mwenye Ukimwi alikwenda kuoga ili
kupunguza hatari ya kupata maambukizi.
Anasema hakutumia condom kwa sababu aliamini hatari ya yeye kupata ukimwi ilikuwa ndogo,
Alsema bada ya ngono zembe na mwanamke huyo alikwenda kuoga kwani aliamini ni njia mojawao ya
kupunguza hatari ya kuambukizwa.
SA's Zuma 'showered to avoid HIV' (BBC News), 05 April 2006 | South African History Online

https://nation.africa/kenya/news/i-showered-to-reduce-hiv-risk-zuma-tells-rape-trial-514856
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…