Kila tukimaliza kufanya mapenzi, anakimbilia kuoga, shida nini?

Ndefu sana
Turahisishie
 
Atakuwa amepewa mwongozo Toka mahali fulani au anatekeleza Mila zao,lkn Kwa si waislamu watakiwa kuoga janaba ila si lazima kwa haraka ivyo,bali mhimu sana kupata udhu baada ya tendo,kisha ukalala na baadae ndo ukaoga janaba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…