Ahsante Chief-Mkwawa, Njunwa Wamavoko na Watu8 nimejitahidi kitu KODI kimekubali naweza kupata channel kama aljazeera na zingine za ulaya kupitia Paki India ila hii hapa vdtube25 nimeshindwa kuipata
kama alivyoelekeza Chief-Mkwawa kwani nimekwenda process zote nimeishia hapa kwenye XUNITY TALK REPOSITORY (add-on enabled alafu ikapotea) kisha ikaja kama hapa chini
My add-ons
Install from repository
Install from zip file
Search
System
BADALA YA HII CHINI KAMA INAVYOONYESHWA KWENYE TUTORIAL
Check for updates
Disabled Add-ons
Get Add-ons
Install from zip file
Search
HAPO NDIO NIMEKWAMA HAIJI YA CHINI ILI NI-SELECT get add-ons badala yake inakuja ile ya juu inayoanza na my add-ons na niki-click install from zip file inanirudisha nyuma kwenye ku-select XUNITY then XUNITY TALK REPOSITORY
CALL FOR HELP PLEASE
Malizieni maana mmenipa madini ya kutosha mwanafunzi nimeweza imebaki kidogo tu nifanikiwe
JAman mbona kama ss wa Android mmetusahau, Nimeinstal lazzy IPTV sasa kupata link chanelz ndio Utata, Msaada juu ya hilo waungwana
Sim yangu haina uwezo sana lakin soon nitabadilisha ni SAMSUNG Duos grand lite , kuinstal Ile KODI App play store nayo Imesema not supported (utata plus)
idm inazipata kiurahisi
1. Anza kwa kutengeneza folder katika drive yoyote, mfano ingia drive C then create folder na uliite Azamtv.
2. Ndani yake hili folder tengeneza file kwa notepad na uweke ile link ya azam tv niliyoandika pale juu.
Sasa kwa kawaida notepad huwa inaweka extention ya .txt, hii ndio unapaswa kuibadili na kuwa .strm.
Binafsi hutumia third part software inaitwa notepad++ ni rahisi pale unaposave text file ukiwa na nia ya kubabili extention yoyote unayotaka.
Sasa kama unatumia windows, jaribu ku-unhide extentions ili hilo file lako la notepad uweze kuiona .txt extention.
Hakikisha umelog in kwa windows kama admin...
Mkuu watu8....Sasa sisi watu wa smartphone tunafanyaje na sisi tuweze kuona azam tv na nyinginezo?
Mkuu watu8....Sasa sisi watu wa smartphone tunafanyaje na sisi tuweze kuona azam tv na nyinginezo?
Nimekupata vilivyo mkuu #watu 8 tv staions zinakuja ila kuplay nikiplay inakuja mfumo wa Audio sasa sijui inabid niw na vlc ya Android au ni vp msaada tafadhali.
Mkuu kwanza nadhani kulikuwa na makosa katika utajaji wa hilo jina...
Hiyo addon inaitwa Vdubt25 na sio vdutube25...
Then kwa maelezo yako ya hapa chini naomba unifahamishe mambo kadhaa...
1. Umeinstall version ipi ya Kodi?
2. Umeinstall Xunity Talk Repository?
3. Ukiingia hapo katika install from repository unaona nini?
Ahsante Chief-Mkwawa, Njunwa Wamavoko na Watu8 nimejitahidi kitu KODI kimekubali naweza kupata channel kama aljazeera na zingine za ulaya kupitia Paki India ila hii hapa vdtube25 nimeshindwa kuipata kama alivyoelekeza Chief-Mkwawa kwani nimekwenda process zote nimeishia hapa kwenye XUNITY TALK REPOSITORY (add-on enabled alafu ikapotea) kisha ikaja kama hapa chini
My add-ons
Install from repository
Install from zip file
Search
System
BADALA YA HII CHINI KAMA INAVYOONYESHWA KWENYE TUTORIAL
Check for updates
Disabled Add-ons
Get Add-ons
Install from zip file
Search
HAPO NDIO NIMEKWAMA HAIJI YA CHINI ILI NI-SELECT get add-ons badala yake inakuja ile ya juu inayoanza na my add-ons na niki-click install from zip file inanirudisha nyuma kwenye ku-select XUNITY then XUNITY TALK REPOSITORY
CALL FOR HELP PLEASE
Malizieni maana mmenipa madini ya kutosha mwanafunzi nimeweza imebaki kidogo tu nifanikiwe
Nime-install KODI version hiyo kwenye link aliyoleta Chief-Mkwawa hapo juu na nimetumia tutorial kwenye link ya chief mkwawa hapo juu na nilifuata maelekezo kama tutorial inavyosema nikafika mpaka Xunity Talk Repository alafu add-ons ikawa enabled ila ikaja tofauti kama tutorial ilivyoelekeza, tazama maelezo yangu hapo chini
Okay kwanza sikuwa nimeenda katika hiyo link aliyotoa Chief Mkwawa ila sasa kuna kitu nimenotice nadhani ndipo shida inaanzia...
Hatua ya mwanzo katika ku-Add source ile sehemu iliyoandikwa <None> inapaswa uweke link hii: Index of /xfinity
Na sio kuweka: Index of /xfinity
Halafu endelea na hatua nyinginezo kama walivyoelekeza...
Ahsante sana mkuu kitu kimekubali naona skysport za kumwaga mpaka MUTV ndani, idumu JF asee kama uraiani hii issue mtu anaweza akapiga ela maana kama kuingiza nyimbo tu kwenye simu ni mpaka pesa
Usijali mkuu karibu tena...
Kodi ina mambo mengi sana na utaifaidi kama tu una internet yenye afya...
Binafsi nimeifahamu kwa muda mrefu tokea toleo lao la mwanzo wakijiita XBMC (Frodo v12)...
Enjoy mkuu...
Usijali mkuu karibu tena...
Kodi ina mambo mengi sana na utaifaidi kama tu una internet yenye afya...
Binafsi nimeifahamu kwa muda mrefu tokea toleo lao la mwanzo wakijiita XBMC (Frodo v12)...
Enjoy mkuu...
Boss, azamtv unapata hata kwa kutumia mx player on android, cha msingi copy link ya azam na upaste kwenye mx player