Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Yap...

Hata katika mtandao(website) wa StarTv inaonekana wapo offair...

Once wakiwa onair huwa Startv inaonekana...
Aisee kumbe computer ni kujiamini tu, nimesoma maelezo ya kuweka KODI kwa msaada wenu mleta uzi na wewe nikaweza na kuweka zingine, nikasoma post yako kuhusu AZAM nikachemsha lakini mwisho wa siku nimeweza kuweka AZAM TWO, SHUKRANI MKUU
 
Kujaribu ni kuthubutu mkuu...

Na unapothubutu unapata challenges zaidi na kujua mengi zaidi...

Aisee kumbe computer ni kujiamini tu, nimesoma maelezo ya kuweka KODI kwa msaada wenu mleta uzi na wewe nikaweza na kuweka zingine, nikasoma post yako kuhusu AZAM nikachemsha lakini mwisho wa siku nimeweza kuweka AZAM TWO, SHUKRANI MKUU
 
We can't download this file because windows phone doesn't support this file type
 
Haya madude nayakubali sana. Nataka niwatest wale jamaa wa kulipia wapoje?

Njunwa Wamavoko
nipe maujanja ya kupatia fake credit card maana nakwama kwenye security code.
 
Nilikuwa nasumbuka sana kustream mpira kwenye Google, nimeweka kodi kwenye laptop yangu na smartphone na hapa nainjoi Liverpool tv

Kwakweli hili jukwaa ndio lilikuwa chachu ya Mimi kujiunga na JF na ndio kielelezo tosha cha ugreat thinker
 
Nilikuwa nasumbuka sana kustream mpira kwenye Google, nimeweka kodi kwenye laptop yangu na smartphone na hapa nainjoi Liverpool tv

Kwakweli hili jukwaa ndio lilikuwa chachu ya Mimi kujiunga na JF na ndio kielelezo tosha cha ugreat thinker
Umeipat kwenye add ons gan
 
Ukiwa na Lazy IPTV inabidi uweke playlist...

Kwa kawaida katika playlist unaweza ukaweka link toka mtandaoni au ukaweka local link ambayo ni file la m3u toka katika local storage...

Kwa case yako wewe inabidi ufungue Lazy IPTV, then bofya new playlist, then from internet (url)...

Itatokea sehemu mbili ya kujaza, sehemu ya kwanza andika jina lolote tu lile mfano IPTV 1 na sehemu ya pili weka hii url Soloman English only - Pastebin.com

Baada ya hapo save na subiri maana kutakuwa na auto update ya hizo channels ili ziload kwa mara ya kwanza...

Ikifanikiwa kumaliza maana yake utakuwa tayari na channels kadhaa kutoka hiyo link...

Baada ya hapo rudi katika dashboard, ukibofya hapo juu kushoto itashuka menu, scroll chini hadi utapoona playlist manager na chini yake utaona lile jina uliloweka pale juu IPTV1.

Ukilibofya hilo utaona channels zako zikiwa tayari kwa ajili ya kutazamwa...

Mkuu bado kwagu inasem add ons does not have correct structure
 
mkuu thanks nimefanikiwa aise download
 
mkuu kwenye simu unatumia os ipi,mm nime install kodi ktk Simu android version 4.2.2 msaada wa hatua za kupata hizo add- ons maana nime fail
Mie kwenye laptop mambo shwari, hapa nakomaa na kwenye simu inaogoma though kodi nimeweza kuweka na nimeambulia Aljazeera, kwenye simu naona kuna baadhi hazionekani kama Paki India Live na hiyo phoenix
 
mkuu kwenye simu unatumia os ipi,mm nime install kodi ktk Simu android version 4.2.2 msaada wa hatua za kupata hizo add- ons maana nime fail

Natumia Android , kupata add- ons wadau wengi wametoa link kwenye post za kwanza
Ila unaweza Google phoenix TV au paki India TV ukapata link yakupakua
 
Nonsense,,,, maelezo kibao NA tutorial za kufa mtu,,, at the end nothing.Dunia ya sasa iko simple sana na clear ndo maana hata job interviews zimepungua masaa,,,;sasa umeapload movie ya 2hrs kwenye somo? Sasa mtihani si itakuwa TB au XB?
 
Nonsense,,,, maelezo kibao NA tutorial za kufa mtu,,, at the end nothing.Dunia ya sasa iko simple sana na clear ndo maana hata job interviews zimepungua masaa,,,;sasa umeapload movie ya 2hrs kwenye somo? Sasa mtihani si itakuwa TB au XB?

sijakuelewa hebu elezea kwa lugha rahisi zaidi
 
mbona unaonekana kama una stress...

typical Tanzanian...

Nonsense,,,, maelezo kibao NA tutorial za kufa mtu,,, at the end nothing.Dunia ya sasa iko simple sana na clear ndo maana hata job interviews zimepungua masaa,,,;sasa umeapload movie ya 2hrs kwenye somo? Sasa mtihani si itakuwa TB au XB?
 
Maisha siku zote ujifunze kuingiza kitu kigeni akilini kikuongezee ufahamu,Asante mtoa post hii!
 
Back
Top Bottom