Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Mkuu hapo kwenye ulaji wa bundle si inakua ni balaa sana au?Tunaomba experience yako CHIEF
 
Mkuu hapo kwenye ulaji wa bundle si inakua ni balaa sana au?Tunaomba experience yako CHIEF

kwa unachoona na bundle inayokula hii ina uafadhali, kama alivyosema njunwa hapo juu unaweza angalia chanell ya hd kwa speed around 1mbps wakati kwa youtube pengine ingehitaji zxaidi ya 3mbps.

lakini hii pia chanell zake nyingi ni hd na full hd hivyo kama bundle ni ya mawazo itaisha mara moja. i recomend vifurushi vya usiku (kwa ajili ya uefa) au kama ni vya mchana viwe ni vile vyenye bandwitch kuanzia 1gb.

kama bundle ni ndogo sana tumia site hii hapa
ROJADIRECTA

chagua match ukiclick watakuletea link then utaletewa na speed inayohitajika, unaweza hata tumia edge kama hauna 3g then ukachagua inayotaka bandwitch ndogo kama 200kbps
OfkoTFK.jpg


ila kama unaangalia kwa browser hakikisha una ads blocker
 
Chief-Mkwawa nilitaka kufungua uzi huu kitambo lakini wasiwasi wangu ulikuwa ni uhakika ya internet kwa Wabongo...

Nimeanza kutumia XBMC (Kodi) tangu enzi za version ya Frodo baadaye Gotham na sasa Helix...

Kwa kuongezea tu kwa watumiaji wa simu pia wanaweza kujaribu LazyIPTV au IPTV app, zipo vizuri nazo.
Kitu cha muhimu ni kututa tu links nzuri za m3u na kuziweka huko...

La unaweza ukaziinstall pia kwa kompyuta kupitia bluestack...
 
Last edited by a moderator:
Chief-Mkwawa nilitaka kufungua uzi huu kitambo lakini wasiwasi wangu ulikuwa ni uhakika ya internet kwa Wabongo...

Nimeanza kutumia XBMC (Kodi) tangu enzi za version ya Frodo baadaye Gotham na sasa Helix...

Kwa kuongezea tu kwa watumiaji wa simu pia wanaweza kujaribu LazyIPTV au IPTV app, zipo vizuri nazo.
Kitu cha muhimu ni kututa tu links nzuri za m3u na kuziweka huko...

La unaweza ukaziinstall pia kwa kompyuta kupitia bluestack...

hata vlc inaplay m3u ila kuzipata link ambazo zinafanya kazi ndio issue, kama una reliable source ya kupata hizo links ina maana watu hawatapata shida hio hapo juu wataangalia tu mpira kwa vlc.
 
Last edited by a moderator:
hata vlc inaplay m3u ila kuzipata link ambazo zinafanya kazi ndio issue, kama una reliable source ya kupata hizo links ina maana watu hawatapata shida hio hapo juu wataangalia tu mpira kwa vlc.

Kama unamfahamu jamaa mmoja anaitwa Husham, huwa anatoa updates karibu kila mwezi....

IPTV LINKS – World IPTV/M3u Links | Husham.com website

Baada ya kupata IPTV link toka kwa Husham, unachofanya ni kuiweka "configure" katika Simple PVR au unaweza pia kutumia Playlist loader addon...

Sipendi sana VLC kwa kuwa katika Kodi unapata GUI kama ilivyo tu kwenye PVR machines...
 
Malipo ni bure lakini kwa upande wa Internet provider kama tigo,voda na Airtel Kampuni wanaunafuu? na ipi njia bora kupunguza hizo Mb zinazokwenda kwa kasi?
 
Hyo kodi ndo remote mkuu... Maana nimedownload halafu sijui cha kufanya
 
Malipo ni bure lakini kwa upande wa Internet provider kama tigo,voda na Airtel Kampuni wanaunafuu? na ipi njia bora kupunguza hizo Mb zinazokwenda kwa kasi?

Kiuhakika zaidi kama unataka kuangalia 24hrs itakubidi uwe na internet unlimited.

Ila kama unaangalia pale unapohitaji kama vile mpira basi Kifurushi cha siku kinatosha cha 1000

Na operator wote naona karibia Ni sawa
 
Malipo ni bure lakini kwa upande wa Internet provider kama tigo,voda na Airtel Kampuni wanaunafuu? na ipi njia bora kupunguza hizo Mb zinazokwenda kwa kasi?

Nimekuwa natumia browser (Chrome) kuangalia mpira, nimekuwa natumia kati ya 350mb-450mb kwa dk 90. So, huwa naweka bundle ya siku ya tigo ya 999 Tsh, napata 650mb. Naangalia mwanzo mwisho na mb kadhaa zinabaki.
 
Hii kitu iko poa sana

Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-

1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C

Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi

Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni

1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams

Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri

Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth

Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event

oDHsWy.jpg



Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu

N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile https://www.youtube.com/watch?v=eFwraw8JYho

Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna

8oMZ0N.png

Mkuu, nilitaka kuagiza Amazon firestick but nilposoma na kuelewa utendaji wake wa kazi nikakata tamaa kutokana na matatizo ya Internet speed kwa hapa bongo.

Naomba uzoefu wako kama unatumia au ushawahi kutumia amazon firestick.
Niko very interested na hii kitu.

Asante!!
 
Mkuu, nilitaka kuagiza Amazon firestick but nilposoma na kuelewa utendaji wake wa kazi nikakata tamaa kutokana na matatizo ya Internet speed kwa hapa bongo.

Naomba uzoefu wako kama unatumia au ushawahi kutumia amazon firestick.
Niko very interested na hii kitu.

Asante!!

Kwa muono wangu mimi nunua android box kama budget Ni ndogo ila kama unaweza panda kidogo full PC Ni bora zaidi kwenye range around $150 unazipata.

Pia firetv (firestick) inaruhusu ku sideload apps za android hivyo inakuwa si kama chromecast unaweza itumia hata internet ikiwa ya magumashi
 
Kwa muono wangu mimi nunua android box kama budget Ni ndogo ila kama unaweza panda kidogo full PC Ni bora zaidi kwenye range around $150 unazipata.

Pia firetv (firestick) inaruhusu ku sideload apps za android hivyo inakuwa si kama chromecast unaweza itumia hata internet ikiwa ya magumashi

Shukran mkuu!
Umenufumbua macho kwa kiasi flani.
 
Kiuhakika zaidi kama unataka kuangalia 24hrs itakubidi uwe na internet unlimited.

Ila kama unaangalia pale unapohitaji kama vile mpira basi Kifurushi cha siku kinatosha cha 1000

Na operator wote naona karibia Ni sawa


thanks bro!
 
Nimefanikiwa kuitumia kodi kwenye laptop, iko vizuri sana.
Nimeinstall add ons kama Phoenix, uk_turk zipo fresh
 
Kwa wale wapenzi wa Investigation Discovery
Channel hii inaonesha USA crimes na jinsi Askari wanavyofanya upelelezi mpaka kumkamata mtu alofanya hiyo crime.
Mara nyingi ni crimes za mauaji
channel hii pia ipo kwenye Azam na DSTV

1hr watching

1aa05d7b9ea6db7631d71ed681f091e5.jpg
 
Back
Top Bottom