Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Kwa nn isioneshe Live labda?Hiyo acc. ni shilingi ngapi. inapatikanaje? Je, inaonesha live? Muhimu: TV yangu haina port ya HD In.
Maana unakua una stream real channel
Bei zake ziko chini ya 50,000/= kwa mwaka tembelea JF Matangazo kuna wauzaji huko wa Qsat wanauza pia hizo account
