Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Binafsi nilinuna SMART Tv box (Zoomtak) ambayo ndo nimeistall KODI/XBMC but challange imekuwa ni internet, both speed and affordability. sasa sijui ni opeator gani mzur hapa bongo kwa speed na pia gharama za chini kwa bundle.
images

Napendelea addons kama Genesis, Phonex pamoja na Decado Documentaries bila kusahau KMediaTorrent
 
Ndio hivyo mkuu inakubidi uwe na account ya VPN ili angalau uweze kufaidi...

Mkuu Watu8 unamaanisha hiyo account y VPN itaniwezesha kupata addons ambazo hazipatikani niliko? sijakupata vizuri
 
Last edited by a moderator:
Binafsi nilinuna SMART Tv box (Zoomtak) ambayo ndo nimeistall KODI/XBMC but challange imekuwa ni internet, both speed and affordability. sasa sijui ni opeator gani mzur hapa bongo kwa speed na pia gharama za chini kwa bundle.
images

Napendelea addons kama Genesis, Phonex pamoja na Decado Documentaries bila kusahau KMediaTorrent

Kama haupo dar cheki na smart kama wanakupa speed nzuri, nafkiri kile Kifurushi cha 20,000 bado kipo kwa mwezi
 
Binafsi nilinuna SMART Tv box (Zoomtak) ambayo ndo nimeistall KODI/XBMC but challange imekuwa ni internet, both speed and affordability. sasa sijui ni opeator gani mzur hapa bongo kwa speed na pia gharama za chini kwa bundle.
images

Napendelea addons kama Genesis, Phonex pamoja na Decado Documentaries bila kusahau KMediaTorrent
Am impressed na hicho kidude

Kuhusu Internet Nakuhakikishia kama upo DSM Providers kama Zantel,Vodacom na AirteL wata meet demands zako katika Upande wa 3G

Ukitembelea ile link alotoa Chief watu wameweka speed test kadhaa na ukifatilia utaona mtandao wa Airtel na Zantel inaonesha kuwa na Ping speed ndogo hivo inafaa

Zantel wanayo bundle ya 25,000/= per month na 45GB nafikiri
Inaweza kukufaa hiyo maana nahisi ndo cheapest yet speed yao ni competitive

Kama una hela ya ziada kuweka waweza consider Side B ya 4G hapa utawakuta wakina Smart,Tigo na Smile
 
Mkuu Watu8 unamaanisha hiyo account y VPN itaniwezesha kupata addons ambazo hazipatikani niliko? sijakupata vizuri
Ndio VPN inaweza ku fake Identity yako online ukaonekana upo USA kumbe upo Tandale kwa Tumbo[emoji2]
Kumbuka Online tunakua Identified na IP adress,uki connect VPN na server fulani e.g ya USA unapewa IP Adress mpya ya nchi usika
 
Last edited by a moderator:
Kama haupo dar cheki na smart kama wanakupa speed nzuri, nafkiri kile Kifurushi cha 20,000 bado kipo kwa mwezi

Nishawahi test SMart 4G iko poa sana but but itanibid tena ninunue dongle yao ya 4G ambayo inacost 220,000/= . may be kama naweza nikapata a cheap modem ya 4G i can go for smart.
 
Am inpressed

Kuhusu Internet Nakuhakikishia kama upo DSM Providers kama Zantel,Vodacom na AirteL wata meet demands zako katika Upande wa 3G

Ukitembelea ile link alotoa Chief watu wameweka speed test kadhaa na ukifatilia utaona mtandao wa Airtel na Zantel inaonesha kuwa na Ping speed ndogo hivo inafaa

Zantel wanayo bundle ya 25,000/= per month na 45GB nafikiri
Inaweza kukufaa hiyo maana nahisi ndo cheapest yet speed yao ni competitive

Kama una hela ya ziada kuweka waweza consider Side B ya 4G hapa utawakuta wakina Smart,Tigo na Smile

ntafuatilia zantel nijue ikoje. Nipo DSM.Thanks
 
Binafsi nilinuna SMART Tv box (Zoomtak) ambayo ndo nimeistall KODI/XBMC but challange imekuwa ni internet, both speed and affordability. sasa sijui ni opeator gani mzur hapa bongo kwa speed na pia gharama za chini kwa bundle.
images

Napendelea addons kama Genesis, Phonex pamoja na Decado Documentaries bila kusahau KMediaTorrent

Mkuu hiyo box ulinunua nje au if nje naomba nitajie bei yake na ya shipment inavyocost
 
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.

Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.

Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.

Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html

Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.

KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kodi-devices-smudged.jpg


Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi

Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
9vW4MHp.jpg


KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
zNbDtYR.jpg

PppArCw.jpg


Hio hapo juu sky sport 3

Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.

Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli

Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
Plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc

Website hio hio pia utapata plugins nyingi.

Kama una swali lolote usisite kuuliza chini

Hii nzuri kiongoz. Ubarikiwe
 
Nishawahi test SMart 4G iko poa sana but but itanibid tena ninunue dongle yao ya 4G ambayo inacost 220,000/= . may be kama naweza nikapata a cheap modem ya 4G i can go for smart.

Kama upo dar smart si chaguo zuri, sisi WA mikoani unlimited tunapata kwa 20,000 tu. Dar smart hawana 3g.

Cheki na hio zantel kama alivyosema njunwa
 
Nishawahi test SMart 4G iko poa sana but but itanibid tena ninunue dongle yao ya 4G ambayo inacost 220,000/= . may be kama naweza nikapata a cheap modem ya 4G i can go for smart.
Modem zinapatikana kwa <90,000/= eBay
Beware unaponunua modem ya 4G uinunue with full knowledge or less haitofanya na mtandao unaokusudia

Faida ya router ya Smart unapewa free 65GB
 
Mkuu Watu8 unamaanisha hiyo account y VPN itaniwezesha kupata addons ambazo hazipatikani niliko? sijakupata vizuri

Ukiwa na account ya VPN maana yake utaweza kufungua geo-restricted addons...

Mathalani kuna addons nyingine zinataka mtu awepo UK tu na wakati huo wewe upo Msumbiji...

Ukiwa na VPN account unapewa IP ambayo inakufanya uonekane upo UK...

Kwa kufanya hivyo utaweza kustream hayo mautamu ya UK...
 
Last edited by a moderator:
Ukiwa na account ya VPN maana yake utaweza kufungua geo-restricted addons...

Mathalani kuna addons nyingine zinataka mtu awepo UK tu na wakati huo wewe upo Msumbiji...

Ukiwa na VPN account unapewa IP ambayo inakufanya uonekane upo UK...

Kwa kufanya hivyo utaweza kustream hayo mautamu ya UK...


Asante nimekupata vizuri mkuu
 
Wanao changamoto ya VPN, mimi hutumia Hola VPN, ni bure na inapatikana Playstore na kwa browser, kuna add ya Chrome.
 
Ndio hivyo mkuu inakubidi uwe na account ya VPN ili angalau uweze kufaidi...

Jamani mimi naomba maelekezo yakueleweshwa jinsi ya kuipata na ku-istall VPN na pia jinsi ya kuitumia...tusichekane ushamba kazi
 
Jamani mimi naomba maelekezo yakueleweshwa jinsi ya kuipata na ku-istall VPN na pia jinsi ya kuitumia...tusichekane ushamba kazi

Mkuu kuandika kila kitu huwa ni ngumu sana kwa kuwa sisi wengine si wapenzi sana wa kuandika...

jaribu kuitazama hii video fupi tu na utaweza kuelewa japo kwa uchache sawasawa na maswali yako...

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom