Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Zinafanya kazi

Fanya Uninstall uinstall upya labda

Tatizo la Bein sports karibia zote ni HD so jipange kidogo

wakati Sky sports karibu zote ni SD 480p una uhakika wa kucheki match nzima bila tatizo la maana

vHqgMe.png


zNX9Tj.png

kamanda wang hzo bein sport unazpata plugin gan au sehem gan
 
NJM Soccer
Shahid Arabic
Phoenix

Hata hivyo kuna baadhi ya addons zinategemea upo sehemu/nchi gani ili zifanye kazi...(IP dependant)

Ila mkuu kuna ujanja mwingi wa kutazama live tv kwa Kodi si lazima addon tu...

Pia nimeweka IPTV m3u link kwa kutumia simple pvr hivyo si wakati wote natumia addons...



Basi siku nyingi sikuwa nineifuatilia maana kitambo wakati wa frodo au gotham (matoleo nyuma ya helix), apk zake ilikuwa unazipata moja kwa moja mtandao wa xbmc(kodi)...

Hiyo taarifa muhimu sana mkuu, now umenitoa wasi wasi mkuu, nilikuwa naona maluwe luwe tu hapa
 
Hiyo taarifa muhimu sana mkuu, now umenitoa wasi wasi mkuu, nilikuwa naona maluwe luwe tu hapa

Ndio hivyo mkuu inakubidi uwe na account ya VPN ili angalau uweze kufaidi...
 
Hatimaye baada ya kuhangaika nimekutana na hii kitu Chif mkwawa, ni android apk waweza ingia kwenye ofisho site yao haina mambo mengi we download kisha instal fanya yako
 

Attachments

  • 1437720125718.jpg
    1437720125718.jpg
    31.4 KB · Views: 332
  • 1437720149228.jpg
    1437720149228.jpg
    33.2 KB · Views: 305
  • 1437720167792.jpg
    1437720167792.jpg
    22.1 KB · Views: 300
Hata kwa simu taratibu ni huohuo tu, nimefanikiwa kuweka kwenye simu kwa kufuata utaratibu huo.

Sawa kaka ila usjal nimepata MOBDRO Imenipa kila kitu nilichohitaaj kaka,yaan iko powa wala haina buffer za ajabu ajabu tena speed yangu iko 322/723 kbps na inarun powa sana kwa hd na sd zote
 
Sawa kaka ila usjal nimepata MOBDRO Imenipa kila kitu nilichohitaaj kaka,yaan iko powa wala haina buffer za ajabu ajabu tena speed yangu iko 322/723 kbps na inarun powa sana kwa hd na sd zote

Tufundshe na cc umeipataja mkuu
 
Tufundshe na cc umeipataja mkuu

Powa kamanda cha kufanya nenda kwenye ofisho site yao au ingia gugo pia sach MOBDRO for android apk itakuja hapo kisha ingia kwenye site yao kisha download apk ina kama mb19 hivi instal kisha run kwisha kazi
 
Bein utazipata kwenye pak india live add-on

Tatizo la bein zote HD may be kwa pc au high end devices, ila kwa hivi vimeo vyetu ni shida nyingine labda kwa skysport ambayo inarun kote sd na hd
 
Aisee kodi safi sana jana nimestream movie ya mad max mwanzo mwisho bila shida na quality nzuri kabisa coz me huwa nasubiria torrents za yify ndio nicheki movie na bado ya madmax hajatoka so kodi imenisave sana... Big up chief mkwawa❕❕❕
 
Aisee kodi safi sana jana nimestream movie ya mad max mwanzo mwisho bila shida na quality nzuri kabisa coz me huwa nasubiria torrents za yify ndio nicheki movie na bado ya madmax hajatoka so kodi imenisave sana... Big up chief mkwawa❕❕❕

Umepataje movies...maana nimetafta sijapa movies humo
 
Back
Top Bottom