Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

sehemu gani?
Toka round about ya uhuru (barabara ya mnazi mmoja na msimbazi ), kama unaelekea msimbazi police, mtaa wa kwanza kushoto (maeneo hayo yana maduka mengi ya simu), ufuate huo mtaa mpaka duka la mwisho kushoto kwenye hilo jengo la kushoto. Usiingie vikorido vinavyoelekea maduka ya ndani, nenda moja kwa moja. Ni duka la vifaa vya simu.





Ni hapo pekee. Nilizunguka siku nzima hapo kkoo ndipo nikabahatisha kwenye duka hilo. Nimenunua siku nne zilizopita
 
kwa muonekano tu ni adapter, umeitest inafanya kazi?
 
Bahati mbaya simu yangu haina mhl technology. Hivyo nimekwama.
sikuwa nafahamu kama hii ni technology yenye standard zake kabisa, nilifikiri ni adapter tu watu wanabadili tu hizo data.


umehakiki vipi kama simu yako haina hio technology? naona kwenye site yao wana qr code ya kuscan ili kuhakiki
 
Jamani me nahitaji kujua kama kuna kifaa naweza kutumia kuconect kutoka kwenye simu kwenda kwa tv na nikaangalia kwenye tv
 
greatand i will work on this as i settle, Mungu akubariki kwa knowledge uliyotumegea
 
Jamani me nahitaji kujua kama kuna kifaa naweza kutumia kuconect kutoka kwenye simu kwenda kwa tv na nikaangalia kwenye tv
hio cable hapo juu ndio kazi yake, na pia kama tv ina miracast na simu ikiwepo utaconect bila waya
 
sikuwa nafahamu kama hii ni technology yenye standard zake kabisa, nilifikiri ni adapter tu watu wanabadili tu hizo data.


umehakiki vipi kama simu yako haina hio technology? naona kwenye site yao wana qr code ya kuscan ili kuhakiki
Niliposoma maelezo ya hiyo adapter nilitafuta mtandaoni, karibu smart phones zote za miaka ya hivi karibuni zina mhl tech isipokuwa baadhi ya tecno, ambayo ndio natumia. Very sad. MHL inakuwa kwenye micro usb kusapoti hdmi

http://www.mhltech.org/devices.aspx?tid=1
 
soma hapo juu post ya nyenyere inaitwa mhl bei sh 15,000 na inapatikana aggrey na likoma kwenye kona

ila hakiki kwanza kama simu yako ina hio technology ya mhl
Mkuu chief mkwawa natafuta MHL 2.0 Adapter kwa ajili ya S4 yangu. Vipi hapo dar zinapatikana?. Mimi niko mkoani. Kwa maelezo ya web ya samsung kuna model huwa zinakataa kwenye s4. So naomba unijuze kama wajua hiyo ya samsung s4 naweza pata hapo dar na kwa bei gani.

Asante
 
huwa mara nyingi technology kama hizi zinakuwa na backward compability, hivyo nahisi cable yoyote ya mhl itafaa hata hii tunayoizungumzia. kwa uhakika zaidi mwenye s4 atakuambia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…