Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 430
- 61
Hivi wadau naweza kupata azam tv kwenye Kodi kwa add-ons zip?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha hizi add-ons zinazotajwa humu hakuna namna naweza kuzpata kama hazipo kwenye list ya get more kwenye Kodi yangu?
Hivi wadau naweza kupata azam tv kwenye Kodi kwa add-ons zip?
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.
Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
https://www.jamiiforums.com/tech-ga...iwa-na-download-speed-kubwa-ndio-mzuri-2.html
Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
![]()
Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
![]()
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
![]()
![]()
Hio hapo juu sky sport 3
Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
Plugin yangu ninayotumia ya vdtube25
https://seo-michael.co.uk/how-to-install-vdubt25-add-on-kodi-xbmc
Website hio hio pia utapata plugins nyingi.
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
Mkuu nmeinstall kodi lkn nikiifungua inanipa error na kufanya black.screen. wap nmekosea apo
Error gani? Ukituambia hio error ndio mtu atajua aanze wapi
Ilkua inasema "unable to create gui" bt nmeupdate vga now iko fine ss nisaidien plugins ambazo ntaweza stream supersport kwakua izo mlizoztaja nying nmezkosa kwny video plugins
ndio fungua page no 8 na 9 utaona maelezo ya jinsi ya kuweka Azam tv kwenye kodi
Msaada wadau namna ya kuuangalia supersport
Nimechelewe sana lakin kama hujafanikiwa Install add-on nadhani kwenye list inaitwa ukTurk humo utazikuta supersport zote
Mie wakuu nimedownload hiyo application
Nimeinstall
But inanambia
Error - package sio compatible na device yangu
Natumia tablet
P9 Tecno mini pad
Kweli hii addon inazo supersport 1-7 lkn hakuna hata moja inayofunguka
Mie wakuu nimedownload hiyo application
Nimeinstall
But inanambia
Error - package sio compatible na device yangu
Natumia tablet
P9 Tecno mini pad
Okay mura then what should l do ili niufaidi huo utamu na mimi?
Msaada kwenye tuta!!
Nataka kuinstall vdubt25 lakini nikiselect Add source haileti option ya none ili nitype url inayotakiwa. Msaada please, nimejaribu kuattache picha ila imeshindikana.