4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mwafaa, natamani kama ningekua nakitaka chama cha ccm siku moja niwe makam mwenyekiti alafu niwaoneshe namna ya kujenga chamaKwamba tuandike yanayowapendeza CDM, ACT, CUF, NCCR, CCK, Umoja parties nk?
Sisi tunaona kazi ya Samia na Serikali anayoingoza - Lissu hajalipwa mafao yake? (Nani kalipa)? Simu yako unatumia minara ya Dubai?
Huwi mwenyekiti, diwani, mbunge ,rais kama sioni impact katika jamii yako inayokuzunguka, ccm kama chama sio kibaya ila nyie machawa ndo waaribu chama
Mfano nimeona at Msukuma ametandaza nagari so what atakufa nayo au kuzikwa nayo lini mzee kishimba pamoja na utajiri alionao fanya upumbavu kama wa msukuma