Kitangiri15
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 348
- 734
Sio wote wanaougua wanakufa na sio wote wanaokufa wanaugua
wasalimie maconcordNa kiapo kingine ni kile cha kuapia Mama ama Mungu....Kwa ishu ambayo unadanganya na unataka dhambi yake iwe ndogo kidogo wengi wakiambiwa apia hicho usemacho ....Chap anasema haki ya mama vile...na wale maconcord unasikia haki ya Mungu vile...
Nipo nje ya mada....[emoji848][emoji30][emoji23]
Jr[emoji769]
Chumvi ya mabonge zungushia shamba lote au zizi
Jr[emoji769]
Sasa jr huu ulozi si unakiuka kanuni za Muumba hata kama mhusika anakuwa hana lengo baya?,stands to be corrected[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]ila unasaidia penye uhitaji mkuu
Jr[emoji769]
Nipo nje ya mada....
Mimi tangu juzi nimeanza kujaribu kufanya Astral Projection lakini nashindwa
Jana nikajaribu na kufanya Death Meditation nikiwa nimelala kitandani
Nitakua nakosea wapi mkuu haswa Astral Projection ndo nna shida nayo sana....lengo kuu nataka kuitembelea familia yangu iliyopo nje ya mkoa in Spirit Body na kuna mambo mengi ya kufanya ikibidi nisepe mazima bila kutumia mbinu ya kujiua
Naomba utafute movie ya Woop Goldberg inaitwa Ghost ya mwaka 1990 kuna matokeo mule naona umewahi yaelezea
Sasa jr huu ulozi si unakiuka kanuni za Muumba hata kama mhusika anakuwa hana lengo baya?,stands to be corrected
Sent using Jamii Forums mobile app
Chumvi ni cataylist inafanya kazi yenyewe na kwa kuifanyia featuring pia
Jr[emoji769]
Na mimi pia unitagItakuwa hapahapa natumai takutag usijali