Baada ya kushindwa hoja unakimbilia maisha binafsi ya watu. Nimekuta mjadala unaendelea, tunapangiana sasa muda wa kupost?Jipe muda wa kutafakari hata mambo mengine
We Toka asubuhi unabishania rankings za Simba
Hizo rankings zitakupa ada ya mtoto, biashara. K
Unakaza sana kwenye ushabiki wa Simba.
Jadili kidogo, Fanya harakati zingine
Utakula hiyo Simba yako jinga weweBaada ya kushindwa hoja unakimbilia maisha binafsi ya watu. Nimekuta mjadala unaendelea, tunapangiana sasa muda wa kupost?
Wewe mwenyewe upo hapa, na wengine woote akiwemo mleta mada haujawaona.
Wewe tulia mbona wenge sana,,subilia kinachofata utapata majibu yako vizuri shida nini!
matatizo ya kutembea na calculatorHoja yako ni ipi?
Kumbuka hata Yanga ina nafasi ya kufika mbali! Achana na hivyo vilabu vingine, Tukubaliane kwanza, mpaka sasa Simba ina alama 38 na Yanga 34 na endapo itavuka itakuwa 39, Juu ya Simba.Unakubali au unakataa?Mahesabu ya rank za MSIMU HUU wa 2024-25 zinakomea msimu wa mwaka jana lakini bado tupo msimu huu kwa hiyo hata mshabiki wa Simba akitoka akajigamba yupo sahihi. Hizo ndiyo rank ambazo hesabu zake zimekamilika na ndiyo rank zinazohesabika kuwa ni za msimu huu.
Kuhusu rank za msimu wa 2025-26, bado mahesabu hayajakamilika maana inahitaji kujua timu zitaishia wapi mwisho wa msimu huu.
Narudia tena, katika mahesabu yenu mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu mnajua Simba ina nafasi zaidi ya Yanga kwenda mbali zaidi ya hapo.
Tuchukulie kama mnavyotamani Simba na Yanga zote zimeishia robo fainali mwisho wa msimu, je Berkane na USMA nao hawatavuka kwenda nusu fainali au zaidi? Je Pyramids au Al Hilal hawawezi kufika fainali? Unadhani yote hayo yakitokea Yanga bado itakuwa namba 5?
Mnaignore factors nyingi ili kufurahisha calculators zenu.
Wakati mlipokuwa mnasheherekea 51imba kuwa juu ya Yanga kwenye hizo CAF ranks, mliongezewa shilingi ngapi kwenye maisha yenu??Kwahio yanga akiwa juu ya simba inakuongezea shilingi ngapi kwenye maisha yako
Njoo ule huu muhogo ushibe wakati mimi nazungushazungusha huo mwiko hapo nyuma uinjoy mwenyeweUtakula hiyo Simba yako jinga wewe
Milioni 78 mkuuWakati mlipokuwa mnasheherekea 51imba kuwa juu ya Yanga kwenye hizo CAF ranks, mliongezewa shilingi ngapi kwenye maisha yenu??
CC MwananchiOG
Na utaolewa kweli, huwezi kujua rankings za Simba kuliko hata uchumi wa Taifa ukawa mwanaume rijaliNjoo ule huu muhogo ushibe wakati mimi nazungushazungusha huo mwiko hapo nyuma uinjoy mwenyewe
Hizo rank hazina timu mbili pekee. Labda kama tunaongelea rank mbili tofauti! Tatizo toka mnunue hizo calculators mmepata muhaho.Kumbuka hata Yanga ina nafasi ya kufika mbali! Achana na hivyo vilabu vingine, Tukubaliane kwanza, mpaka sasa Simba ina alama 38 na Yanga 34 na endapo itavuka itakuwa 39, Juu ya Simba.Unakubali au unakataa?
Hapa tunazungumzia kichaka cha Simba, Kwamba Yanga akifuzu robo fainali anakaa Juu ya simba, anakuwa anamzidi sinba points regardless ya timu zinginezo! Unakubali au unakataa? Na kama Yanga akienda nusu fainali tu! Baaasi itamlazimu 5imba kutwaa ubingwa shirikisho ili iweze kumpita tena Yanga.Hizo rank hazina timu mbili pekee. Labda kama tunaongelea rank mbili tofauti! Tatizo toka mnunue hizo calculators mmepata muhaho.
Kama Yanga inafika mbali tupe mahesabu ya huko anapofika, kwa nini umeishia robo?
Nini unachojua kuhusu uchumi wa taifa nguruwe pori wewee? Uchumi wako wenyewe umeukalia ndo utajua uchumi wa taifa?Na utaolewa kweli, huwezi kujua rankings za Simba kuliko hata uchumi wa Taifa ukawa mwanaume rijali
Tutawaoa ivo ivo na uvivu wenu
Kumbe calculator yako inakwambia Simba inaweza kubaki juu ya Yanga, sasa mbona mnajitoa ufahamu?Hapa tunazungumzia kichaka cha Simba, Kwamba Yanga akifuzu robo fainali anakaa Juu ya simba, anakuwa anamzidi sinba points regardless ya timu zinginezo! Unakubali au unakataa? Na kama Yanga akienda nusu fainali tu! Baaasi itamlazimu 5imba kutwaa ubingwa shirikisho ili iweze kumpita tena Yanga.
Hivyo wachambuzi wanatofautiana , wapo wanaosema point zinazidishwa kwa 4 kwakua zinachukuliwa point za misimu minne nyuma.Hapa tunazungumzia kichaka cha Simba, Kwamba Yanga akifuzu robo fainali anakaa Juu ya simba, anakuwa anamzidi sinba points regardless ya timu zinginezo! Unakubali au unakataa? Na kama Yanga akienda nusu fainali tu! Baaasi itamlazimu 5imba kutwaa ubingwa shirikisho ili iweze kumpita tena Yanga.
Huko mliko tuliishia robo?Hizo rank hazina timu mbili pekee. Labda kama tunaongelea rank mbili tofauti! Tatizo toka mnunue hizo calculators mmepata muhaho.
Kama Yanga inafika mbali tupe mahesabu ya huko anapofika, kwa nini umeishia robo?
Mliteseka sana, poleniSi mlikuwa mnatamba na izo rank au sio nyie? Sasa kinafyekwa tuone mtatamba na nini Tena maana ndio kichaka kilichokuwa kimebaki ni suala la muda tu!