MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Hakuna huo utaratibu. Miaka yote alama huzidishwa kwa coefficient ya mwaka husika, i.e msimu husika× 5, msimu jana × 4, msimu juzi × 3.... na kuendelea. Ndiyo maana ikaitwa 5 year ranking.Hivyo wachambuzi wanatofautiana , wapo wanaosema point zinazidishwa kwa 4 kwakua zinachukuliwa point za misimu minne nyuma.
Wengine unazidisha kwa mwaka uliopo , ambao sidhani kama ni sahihi. Sahihi ni point kuzidishwa mara 4 sio 5.
Ok, vyovyote iwavyo Sie tushatamba sanaa na top ten ya CAF , kwahiyo tunaweza kuwapokeza kijiti mtambe kidogo watani maana mlikuwa na mhaho kwa miaka yote ambayo hamkuwa top ten.
Hawajajua tu pesa, wakishaijua watajilaumu kuwa walichelewa sana kuijua 😂Kuwaangalia ndege angani wakiimba nikafurahi nimetumia sh ngapi? Wakorubu wanaoishi Amazon huko hawajui hata pesa ni nini lakini wanafurahia maisha na familia zao wakiwinda na kuvua samaki huko! Usilazimishe pesa iwe furaha ya kila mtu!
Kumbe mnateseka nacho eee. Na badoMpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
😂😂😂 hili ndilo kombe la Stela baada ya 5imba kumfunga dada Abiola? 😂😂😂 kweli mbumbumbu ni mbumbumbu! Kwa hiyo hiyo picha ya adobe ndiyo mnadanganywa nayo?View attachment 3201727
Hapo ni uwanja wa taifa. Una lingine?
Wapi ulituona tukisherehekeaWakati mlipokuwa mnasheherekea 51imba kuwa juu ya Yanga kwenye hizo CAF ranks, mliongezewa shilingi ngapi kwenye maisha yenu??
CC MwananchiOG
Mnatumia nguvu kubwa kulipinga hili maana ni dhahiri ni moja ya vitu vinavyowauma sana vyura kuona Simba ilifanikiwa kwanza kufika fainali za mashindano ya CAF.😂😂😂 hili ndilo kombe la Stela baada ya 5imba kumfunga dada Abiola? 😂😂😂 kweli mbumbumbu ni mbumbumbu! Kwa hiyo hiyo picha ya adobe ndiyo mnadanganywa nayo? View attachment 3201754
Mliteseka sana, poleni
Yanga wanateseka kwa vitu vingi. Hata huu utani wa calculator jinsi ulivyotrend umewatesa saana.Kumbe mnateseka nacho eee. Na bado
Itaje iyo rekodi mpya? Rekodi ya kuvunja viti kwa mkapa nayo ni rekodi ya kujivunia mpaka mmefungiwa KUINGIZA mashabiki?Yanga wanateseka kwa vitu vingi. Hata huu utani wa calculator jinsi ulivyotrend umewatesa saana.
Bahati mbaya hawajui wanazidi kujitesa kwa kutaka kukikimbiza kivuli cha Simba ambayo kila siku inajiwekea rekodi mpya.
Yanga anapigwa Jumamosi...Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
MakubwaMpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Mmh!! Kwahy 2020 ranking ilikuwaje!?.Hakuna huo utaratibu. Miaka yote alama huzidishwa kwa coefficient ya mwaka husika, i.e msimu husika× 5, msimu jana × 4, msimu juzi × 3.... na kuendelea. Ndiyo maana ikaitwa 5 year ranking.
Kipindi iko sheria ya offside haipoView attachment 3201727
Hapo ni uwanja wa taifa. Una lingine?
Mmh!! Kwahy 2020 ranking ilikuwaje!?.
Anapigwa na nani?Yanga anapigwa Jumamosi...
Kwahiyo unawabishia CAF?Watu wengine maandishi yenu tu yana reflect ulivyo sadist.
Mlivyocheza fainali mkavaa medali hadi viunoni mama yako alicheza namba ngapi?Mbumbumbu wanaweweseka, hawatulii,
Wamefuzu kwenye mashindano ya akina mama ila hawana furaha
Watausikia tu watake wasitake wapende wasipende itakuwa ivyoUkweli mchungu ambao makolo hawataki kuusikia
Hao wengine walipigiwaje mahesabu!? Au hakuna aliyefuzu kipindi hicho!?.Simba ilikuwa na 0 (haikufuzu popote)