Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Hivyo wachambuzi wanatofautiana , wapo wanaosema point zinazidishwa kwa 4 kwakua zinachukuliwa point za misimu minne nyuma.

Wengine unazidisha kwa mwaka uliopo , ambao sidhani kama ni sahihi. Sahihi ni point kuzidishwa mara 4 sio 5.

Ok, vyovyote iwavyo Sie tushatamba sanaa na top ten ya CAF , kwahiyo tunaweza kuwapokeza kijiti mtambe kidogo watani maana mlikuwa na mhaho kwa miaka yote ambayo hamkuwa top ten.
Hakuna huo utaratibu. Miaka yote alama huzidishwa kwa coefficient ya mwaka husika, i.e msimu husika× 5, msimu jana × 4, msimu juzi × 3.... na kuendelea. Ndiyo maana ikaitwa 5 year ranking.
 
Kuwaangalia ndege angani wakiimba nikafurahi nimetumia sh ngapi? Wakorubu wanaoishi Amazon huko hawajui hata pesa ni nini lakini wanafurahia maisha na familia zao wakiwinda na kuvua samaki huko! Usilazimishe pesa iwe furaha ya kila mtu!
Hawajajua tu pesa, wakishaijua watajilaumu kuwa walichelewa sana kuijua 😂
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Kumbe mnateseka nacho eee. Na bado
 
View attachment 3201727
Hapo ni uwanja wa taifa. Una lingine?
😂😂😂 hili ndilo kombe la Stela baada ya 5imba kumfunga dada Abiola? 😂😂😂 kweli mbumbumbu ni mbumbumbu! Kwa hiyo hiyo picha ya adobe ndiyo mnadanganywa nayo?
IMG_20230605_165938.jpg
 
😂😂😂 hili ndilo kombe la Stela baada ya 5imba kumfunga dada Abiola? 😂😂😂 kweli mbumbumbu ni mbumbumbu! Kwa hiyo hiyo picha ya adobe ndiyo mnadanganywa nayo? View attachment 3201754
Mnatumia nguvu kubwa kulipinga hili maana ni dhahiri ni moja ya vitu vinavyowauma sana vyura kuona Simba ilifanikiwa kwanza kufika fainali za mashindano ya CAF.

Nashangaa hili nalo hamliiti chaka mnaona ni bora mumsikilize Manara kuliko kukubaliana na facts!
 
Yanga wanateseka kwa vitu vingi. Hata huu utani wa calculator jinsi ulivyotrend umewatesa saana.

Bahati mbaya hawajui wanazidi kujitesa kwa kutaka kukikimbiza kivuli cha Simba ambayo kila siku inajiwekea rekodi mpya.
Itaje iyo rekodi mpya? Rekodi ya kuvunja viti kwa mkapa nayo ni rekodi ya kujivunia mpaka mmefungiwa KUINGIZA mashabiki?
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Yanga anapigwa Jumamosi...
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Makubwa
 
Hakuna huo utaratibu. Miaka yote alama huzidishwa kwa coefficient ya mwaka husika, i.e msimu husika× 5, msimu jana × 4, msimu juzi × 3.... na kuendelea. Ndiyo maana ikaitwa 5 year ranking.
Mmh!! Kwahy 2020 ranking ilikuwaje!?.
 
Back
Top Bottom