Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Lazima kuna wakati atahitaji pesa maana hata kwenda hapo kwa jirani kufuatilia mpira anahitaji kuwa na afya, shibe, awe analipa madeni yake ili asikimbie au kuwakimbia majirani wenye radio akakosa update na hivi vitu vinahitaji fedha. Na kwanini umesema laki? Kwanini sio elfu hamsini? Au elfu kumi? Au nauli ya kufika uwanjani, au basi pesa ya chakula.

Mkuu huwezi ifuta pesa kwenye maisha ukasema una furaha.
Kuwaangalia ndege angani wakiimba nikafurahi nimetumia sh ngapi? Wakorubu wanaoishi Amazon huko hawajui hata pesa ni nini lakini wanafurahia maisha na familia zao wakiwinda na kuvua samaki huko! Usilazimishe pesa iwe furaha ya kila mtu!
 
Kuwaangalia ndege angani wakiimba nikafurahi nimetumia sh ngapi? Wakorubu wanaoishi Amazon huko hawajui hata pesa ni nini lakini wanafurahia maisha na familia zao wakiwinda na kuvua samaki huko! Usilazimishe pesa iwe furaha ya kila mtu!
Sasa boss kwani upo Amazon? Hata nyani si wapo porini na wana furaha wanaruka kwenye miti? Tunamuongelea binadamu wa kawaida wa kileo shabiki wa mpira wa miguu.
 
Naona uto hamjatupa calculator zenu bado mnazitafutia kazi.

Ranking ya msimu huu tuliopo wa 2024-25 haiwezi kubadilika na Simba ipo nafasi ya 7 na Yanga nafasi ya 13.

Kuhusu ranking ya msimu wa 2025-26, tusiandikie mate wakati wino upo. Unaanza kujigamba wakati mwenzio kashaingia robo fainali na wewe bado una kibarua kizito, na katika matokeo matatu yanayowezekana, mawili yanakutoa kwenye mashindano.

Usipovuka, Al Hilal na Pyramids ambao wameshafuzu wanaweza kukushusha ukarudi pale pale ulipokuwa. Unapata wapi ujasiri wa kuja na uzi kama huu mapema hivi?

Hata ukivuka haujui utaishia wapi na Simba itaishia wapi kwa hiyo mahesabu bado ni mabichi.
Sasa hivi mme elewa umuhimu wa kusubiri matokeo wakati mna anzisha nyuzi za Yanga hatoki kwa Al Hilal mlikua hamjui hayo?
 
Kwamba unabisha, hautaki, hauelewi au una maana gani?
Acheni kudanganyana. Hesabu hazitaki hisia na nyie mnapiga mahesabu kwa hisia hadi mnafumba macho. Unajua katika ranking za 2025-26 Simba ina nafasi ya kuwa hata namba 3?
 
Acheni kudanganyana. Hesabu hazitaki hisia na nyie mnapiga mahesabu kwa hisia hadi mnafumba macho. Unajua katika ranking za 2025-26 Simba ina nafasi ya kuwa hata namba 3?
Sasa kisichoeleweka hapo ni kipi? Hata Yanga ina nafasi ya kupanda zaidi ikifika fainali CAFCL, hapa tunazungumzia kwa sasa ambapo Simba ana jumla ya alama 38 na Yanga 34 au 39 endapo atavuka robo fainali. Huko mbele hatufahamu itakuwaje.
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Ungengoja tufuzu kwanza
 

Attachments

  • IMG_20211005_154748.jpg
    IMG_20211005_154748.jpg
    607.4 KB · Views: 4
Sasa kisichoeleweka hapo ni kipi? Hata Yanga ina nafasi ya kupanda zaidi ikifika fainali CAFCL, hapa tunazungumzia kwa sasa ambapo Simba ana jumla ya alama 38 na Yanga 34 au 39 endapo atavuka robo fainali. Huko mbele hatufahamu itakuwaje.
Rank za CAF hazipangwi kutegemea utabiri. Zinapangwa kulingana na kile ambacho kimeshafanyika na zaidi ili uwe sahihi zaidi ni kuangalia pale kila timu ilipofikia mwishoni mwa msimu. Mnaignore rank za msimu husika ambazo Simba ni ya 7 na haziwezi kubadilika mnakimbilia kutabiri rank za msimu ujao.

Mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu hisia zenu zinawaambia Simba itafika mbali zaidi na nyie mnaweza kukomea hapo.
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Ranking ni process sio hivo unavofikiria, hadi jana simba amepanda nafasi ya 5
 
Rank za CAF hazipangwi kutegemea utabiri. Zinapangwa kulingana na kile ambacho kimeshafanyika na zaidi ili uwe sahihi zaidi ni kuangalia pale kila timu ilipofikia mwishoni mwa msimu. Mnaignore rank za msimu husika ambazo Simba ni ya 7 na haziwezi kubadilika mnakimbilia kutabiri rank za msimu ujao.

Mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu hisia zenu zinawaambia Simba itafika mbali zaidi na nyie mnaweza kukomea hapo.
Sasa hapo usichokielewa ni kipi? Hiyo rank inayosema Simba ni ya 7 inajumuisha points za msimu wa 2019/2020 na kwa CAF 5 year ranking hazihesabiwi tena, na kwa mujibu wa CAF ukitoa alama za msimu wa 2019/2020 Simba anabaki na 28 Yanga anabaki na 24, ukijumlisha za msimu huu mpaka sasa hata kama msimu haujaisha inajulikana simba ameshavuna alama 10 (5×2) ma Yànga alama 10 endapo hatavuka robo ila akivuka ni alama 15 (5×3) ukichukua 24+15=39, Japo msimu unaendelea wote wanaweza kuongeza alama zaidi ya hapo, ila mpala hapo mahesabu yapo hivyo, sasa unachobisha ni kipi? Kwamba 1+1 sio mbili au?
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
matatizo ya kutembea na calculator
 
Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!

Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Samahani kumbe mnateseka kwa SIMBA kuwa juu yenu huko CAF
 
Sasa hapo usichokielewa ni kipi? Hiyo rank inayosema Simba ni ya 7 inajumuisha points za msimu wa 2019/2020 na kwa CAF 5 year ranking hazihesabiwi tena, na kwa mujibu wa CAF ukitoa alama za msimu wa 2019/2020 Simba anabaki na 28 Yanga anabaki na 24, ukijumlisha za msimu huu mpaka sasa hata kama msimu haujaisha inajulikana simba ameshavuna alama 10 (5×2) ma Yànga alama 10 endapo hatavuka robo ila akivuka ni alama 15 (5×3) ukichukua 24+15=39, Japo msimu unaendelea wote wanaweza kuongeza alama zaidi ya hapo, ila mpala hapo mahesabu yapo hivyo, sasa unachobisha ni kipi? Kwamba 1+1 sio mbili au?
Mahesabu ya rank za MSIMU HUU wa 2024-25 zinakomea msimu wa mwaka jana lakini bado tupo msimu huu kwa hiyo hata mshabiki wa Simba akitoka akajigamba yupo sahihi. Hizo ndiyo rank ambazo hesabu zake zimekamilika na ndiyo rank zinazohesabika kuwa ni za msimu huu.

Kuhusu rank za msimu wa 2025-26, bado mahesabu hayajakamilika maana inahitaji kujua timu zitaishia wapi mwisho wa msimu huu.

Narudia tena, katika mahesabu yenu mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu mnajua Simba ina nafasi zaidi ya Yanga kwenda mbali zaidi ya hapo.

Tuchukulie kama mnavyotamani Simba na Yanga zote zimeishia robo fainali mwisho wa msimu, je Berkane na USMA nao hawatavuka kwenda nusu fainali au zaidi? Je Pyramids au Al Hilal hawawezi kufika fainali? Unadhani yote hayo yakitokea Yanga bado itakuwa namba 5?

Mnaignore factors nyingi ili kufurahisha calculators zenu.
 
Mahesabu ya rank za msimu huu wa 2024-25 zinakomea msimu wa mwaka jana lakini bado tupo msimu huu kwa hiyo hata mshabiki wa Simba akitoka akajigamba yupo sahihi.

Kuhusu rank za msimu wa 2025-26, bado mahesabu hayajakamilika maana inahitaji kujua timu zitaishia wapi mwisho wa msimu.

Narudia tena, katika mahesabu yenu mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu mnajua Simba ina nafasi zaidi ya Yanga kwenda mbali zaidi ya hapo.

Tuchukulie kama mnavyotamani Simba na Yanga zote zimeishia robo fainali mwisho wa msimu, je Berkane na USMA nao hawatavuka kwenda nusu fainali au zaidi? Je Pyramids au Al Hilal hawawezi kufika fainali? Unadhani yote hayo yakitokea Yanga bado itakuwa namba 5?
Jipe muda wa kutafakari hata mambo mengine
We Toka asubuhi unabishania rankings za Simba
Hizo rankings zitakupa ada ya mtoto, biashara. K
Unakaza sana kwenye ushabiki wa Simba.
Jadili kidogo, Fanya harakati zingine
 
Mahesabu ya rank za msimu huu wa 2024-25 zinakomea msimu wa mwaka jana lakini bado tupo msimu huu kwa hiyo hata mshabiki wa Simba akitoka akajigamba yupo sahihi.

Kuhusu rank za msimu wa 2025-26, bado mahesabu hayajakamilika maana inahitaji kujua timu zitaishia wapi mwisho wa msimu.

Narudia tena, katika mahesabu yenu mnaishia kuangalia hadi robo kwa sababu mnajua Simba ina nafasi zaidi ya Yanga kwenda mbali zaidi ya hapo.

Tuchukulie kama mnavyotamani Simba na Yanga zote zimeishia robo fainali mwisho wa msimu, je Berkane na USMA nao hawatavuka kwenda nusu fainali au zaidi? Je Pyramids au Al Hilal hawawezi kufika fainali? Unadhani yote hayo yakitokea Yanga bado itakuwa namba 5?

Mnaignore factors nyingi ili kufurahisha calculators zenu.
Wewe tulia mbona wenge sana,,subilia kinachofata utapata majibu yako vizuri shida nini!
 
Sasa hapo usichokielewa ni kipi? Hiyo rank inayosema Simba ni ya 7 inajumuisha points za msimu wa 2019/2020 na kwa CAF 5 year ranking hazihesabiwi tena, na kwa mujibu wa CAF ukitoa alama za msimu wa 2019/2020 Simba anabaki na 28 Yanga anabaki na 24, ukijumlisha za msimu huu mpaka sasa hata kama msimu haujaisha inajulikana simba ameshavuna alama 10 (5×2) ma Yànga alama 10 endapo hatavuka robo ila akivuka ni alama 15 (5×3) ukichukua 24+15=39, Japo msimu unaendelea wote wanaweza kuongeza alama zaidi ya hapo, ila mpala hapo mahesabu yapo hivyo, sasa unachobisha ni kipi? Kwamba 1+1 sio mbili au?
Mkuu utakesha kumuelewesha uyo wajiandae tu kisaikolojia ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom