Sasa hapo usichokielewa ni kipi? Hiyo rank inayosema Simba ni ya 7 inajumuisha points za msimu wa 2019/2020 na kwa CAF 5 year ranking hazihesabiwi tena, na kwa mujibu wa CAF ukitoa alama za msimu wa 2019/2020 Simba anabaki na 28 Yanga anabaki na 24, ukijumlisha za msimu huu mpaka sasa hata kama msimu haujaisha inajulikana simba ameshavuna alama 10 (5×2) ma Yànga alama 10 endapo hatavuka robo ila akivuka ni alama 15 (5×3) ukichukua 24+15=39, Japo msimu unaendelea wote wanaweza kuongeza alama zaidi ya hapo, ila mpala hapo mahesabu yapo hivyo, sasa unachobisha ni kipi? Kwamba 1+1 sio mbili au?