Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Jana usiku wakati nimekaa na mdogo wangu wa kiume mkubwa anayenifwata kuzaliwa akaniambia "Dada kumbe baba fulani (akamtaja baba mtoto wangu) ndio hana akili hivyo? Yaani jinsi nilivyokuwa namheshimu kumbe ndio ujinga anaouandikaga mtandaoni?

Kwanza shem alivyo busy vile muda wa kuandika ujinga ule anapata wapi, huoni kama anakuaibisha hata wewe? Yaani kusema kweli baada ya kusoma threads zake leo nimemdharau sana. Kweli unaweza kuwa umesoma, una kazi nzuri na pesa ila kichwa hakina akili."

Nikamuuliza umeijuaje ID yake mbona zaidi yangu hakuna anayeijua au ulipekua simu yangu kusoma PM zangu eeh? Akajibu hapana, sehemu nyingi sana anatagiwa hata kuna uzi wake pia alijisema yeye ndio baba wa anko wangu. Kweli Shemeji anajiaibisha sana hata kama tunatumia fake IDs (Mimi na dogo tunazijua ID's zetu).

Baada ya hapo ikabidi nianze kumuelekeza kwamba huyo chizi anayejiaibisha sio baba wa anko wake kabisa, nikamuelekeza kwamba shemeji yake hana ujinga huo. Hata kama simpendi namchukia ila ukweli hawezi kuonyesha ujinga wake hadharani hivyo.

Hata kama ni malaya pia hawezi kujisifia hadharani kubadilisha wanawake kila siku. Yeye yupo busy kwenye majukwaa ya Jamii intelligence na nyuzi za sports. Hata kwa Rick boy kwenye kula kimasihara anaonyeshaga ushamba wake hadharani wa kuwashangaa wenzie wanavyokula mitaro nje nje.

Jamani wanajukwaa mitandao ya kijamii inadefine sana jinsi ulivyo. Kile unachokiandika humu kinadefine uhalisia wako kwa hiyo tujitahidi sana kuandika vitu vyenye tija na vya maana. Unaweza kuwa mtu unayeheshimika kweli ila mitandao ikakufanya ujishushie heshima yako.

Kuna watu wengine huwa najiuliza hivi bahati mbaya hata mdogo wake au mwanae akashika simu yake akijua upuuzi anaoandika humu ataendelea kumuheshimu kweli? Tuangalie maudhui tunayoyaandika jamani.
Duh!....hizi fake id zinatusitiri kweli kweli.

Ila kila mmoja ana maisha yake binafsi humu.
 
What if he has more than 1 ID?
I second you mkuu, its a big NO. Hata akiwa na ID nyingine personality yake is definable. Unajua personality ya mtu haijifichi hata iwe vipi. Unafikiri kwann dogo alishangaa alivyohisi ni shemeji yake?? Sababu anamjua hata kwenye fake ID hawezi kuwa hivyo.

Ukiona mtu anapotray tabia fulani ie matusi au umbea or umalaya mitandaoni kuna asilimia kubwa hata in real life yupo hivyo.
 
Sasa mkuu,
Third party hajawahi hata kukulala wala kuishi na wewe, mnamjadili wa nini? Aisee au unamfaham huyo mwamba?
Hata sura yake simfahamu kabisa. Nilimjadili kwa dogo baada ya kuuliza ili ajue hata kama Ex hayupo kwenye maisha yetu tena bado ana heshima yake so watu wa mitandaoni asiwape nafasi ya kumjudge.
 
Jana usiku wakati nimekaa na mdogo wangu wa kiume mkubwa anayenifwata kuzaliwa akaniambia "Dada kumbe baba fulani (akamtaja baba mtoto wangu) ndio hana akili hivyo? Yaani jinsi nilivyokuwa namheshimu kumbe ndio ujinga anaouandikaga mtandaoni?

Kwanza shem alivyo busy vile muda wa kuandika ujinga ule anapata wapi, huoni kama anakuaibisha hata wewe? Yaani kusema kweli baada ya kusoma threads zake leo nimemdharau sana. Kweli unaweza kuwa umesoma, una kazi nzuri na pesa ila kichwa hakina akili."

Nikamuuliza umeijuaje ID yake mbona zaidi yangu hakuna anayeijua au ulipekua simu yangu kusoma PM zangu eeh? Akajibu hapana, sehemu nyingi sana anatagiwa hata kuna uzi wake pia alijisema yeye ndio baba wa anko wangu. Kweli Shemeji anajiaibisha sana hata kama tunatumia fake IDs (Mimi na dogo tunazijua ID's zetu).

Baada ya hapo ikabidi nianze kumuelekeza kwamba huyo chizi anayejiaibisha sio baba wa anko wake kabisa, nikamuelekeza kwamba shemeji yake hana ujinga huo. Hata kama simpendi namchukia ila ukweli hawezi kuonyesha ujinga wake hadharani hivyo.

Hata kama ni malaya pia hawezi kujisifia hadharani kubadilisha wanawake kila siku. Yeye yupo busy kwenye majukwaa ya Jamii intelligence na nyuzi za sports. Hata kwa Rick boy kwenye kula kimasihara anaonyeshaga ushamba wake hadharani wa kuwashangaa wenzie wanavyokula mitaro nje nje.

Jamani wanajukwaa mitandao ya kijamii inadefine sana jinsi ulivyo. Kile unachokiandika humu kinadefine uhalisia wako kwa hiyo tujitahidi sana kuandika vitu vyenye tija na vya maana. Unaweza kuwa mtu unayeheshimika kweli ila mitandao ikakufanya ujishushie heshima yako.

Kuna watu wengine huwa najiuliza hivi bahati mbaya hata mdogo wake au mwanae akashika simu yake akijua upuuzi anaoandika humu ataendelea kumuheshimu kweli? Tuangalie maudhui tunayoyaandika jamani.
Pole sana! Ndiyo unajua leo? Mbona hili ni jambo ambalo liko wazi sana? Unajua unachosema ni kuwa maneno anayozungumza mtu yanaonyesha tabia yake... Sasa ulikuwa hulijui hili? Au una changamoto za kiakili?
 
Pole sana! Ndiyo unajua leo? Mbona hili ni jambo ambalo liko wazi sana? Unajua unachosema ni kuwa maneno anayozungumza mtu yanaonyesha tabia yake... Sasa ulikuwa hulijui hili? Au una changamoto za kiakili?
Imebidi nicheke hapo au una changamoto ya akili[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nilikuwa najua ila baada ya kuona madhara yake ndio nawakumbimusha na wenzangu
 
I second you mkuu, its a big NO. Hata akiwa na ID nyingine personality yake is definable. Unajua personality ya mtu haijifichi hata iwe vipi. Unafikiri kwann dogo alishangaa alivyohisi ni shemeji yake?? Sababu anamjua hata kwenye fake ID hawezi kuwa hivyo.

Ukiona mtu anapotray tabia fulani ie matusi au umbea or umalaya mitandaoni kuna asilimia kubwa hata in real life yupo hivyo.

Sasa kama unakiri ni mtu mwema na mwenye personality njema kabisa, kwa nini ulitumia mtandao kumshambulia?

Anyway, sababu hapo juu umekiri utabadilika ngoja tuachie hapo...

Naona uzi wako unaishi kwenye signature niliyoiandika miaka kenda+ iliyopita...
 
Yes and no..
Kwa kuwa humu I'd ni feki, kuna wakati unaandika mambo ambayo kiuhalisia huwezi hata kutamka tu
Unaamini hilo kabisa mkuu?? Unaweza kujisifia umalaya humu kuwa na wanawake wengi wakati in real life sio?? Lazima kutakuwa na asilimia fulani ya ukweli
 
Akili tunazo ila mara nyingi humu tunajitoa ufahamu tu,

It's stress free zone
Mfano mama siku binti yako akijua ID yako bahati mbaya vipi utabaki kuwa comfotable kwa unavyojipotray humu?? Ndio ninalolisemea
 
Sasa kama unakiri ni mtu mwema na mwenye personality njema kabisa, kwa nini ulitumia mtandao kumshambulia?

Anyway, sababu hapo juu umekiri utabadilika ngoja tuachie hapo...

Naona uzi wako unaishi kwenye signature niliyoiandika miaka kenda+ iliyopita...
Kwa sababu alikosea kwa kipindi hicho na nilihitaji maoni tofauti tofauti kabla sijachukua maamuzi and sikumshambulia mkuu. Asante sana kwa ushauri
 
Huku nje maisha magumu sana. Hatuwezi kuwa serious kote kote, tutadata mapema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kabisa ila tuwe na kiasi na tunayoyaandika mkuu. Imagine kila siku nilete mada za kubadilisha wanaume humu si lazima mtaconclude ndio nilivyo hata nje ya JF??
 
Huyo mdogo wako kwa jinsi anavyomfuatilia huyo shem wake na siku mdogo wako akigegedwa na huyo mumeo utaona kama atakuhadithia.
Fukuza huyo mkuda chap kabla hajakuvunjia ndoa
 
Back
Top Bottom