GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
Wanywaji na walevi waandamizi na wabobezi Karibuni. Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini.
Wekeni na sifa zake.
Wekeni na sifa zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushauri mzuri.
UNataka niue figo we mwanamkeVisungura mkuu.
Sasa unaleta ujuaji tena mkuu na wakati umeomba ushauri😆😆UNataka niue figo we mwanamke
Naomba ushauri ila niko preinformed,Sasa unaleta ujuaji tena mkuu na wakati umeomba ushauri😆😆
Unasema kweli mkuuSafari lager iko poa sana
Nishazinywa hizo. Zina hangoverAnzia Lite
Yeah piga moja moto moja baridi uone mzuka wakeUnasema kweli mkuu
INa alcohol kiasi au wew sio mkemiaYeah piga moja moto moja baridi uone mzuka wake
Bange hasa upate ya Malawi!Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni