Mrs Byesige
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 862
- 1,549
Hapana nakataa..haina hangover hata 1%...asbh unaamka mzimaaaaiyo noma tena ina hangover ya ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nakataa..haina hangover hata 1%...asbh unaamka mzimaaaaiyo noma tena ina hangover ya ajabu
Kama umeshaanza kupiga mvinyo kwa kuonja tu leo na kuanza kuona watoto wazuri, sahau kujenga mwaka huu 😀Nimeshakunywa nimerudi maskani.
Ila kuna demu mmoja alikuwa ananiangalia kwa kuibia sijui ananifahamu.
Ameondoka na mimi nikasepa.
Dah sasa nifanyeje.Kama umeshaanza kupiga mvinyo kwa kuonja tu leo na kuanza kuona watoto wazuri, sahau kujenga mwaka huu 😀
Ungesambaza upendo, kwa kumtuma ata mhudumu angalau ampelekee ata chupa mbili za savana.Dah sasa nifanyeje.
Nilitaka kumfuata sema nikaona kwa sababu leo ni siku ya kwanza, nisije nikazingua.
Alikuwa anakunywa soda. Nikajua sio mnywaji wa vileoUngesambaza upendo, kwa kumtuma ata mhudumu angalau ampelekee ata chupa mbili za savana.
Alikuwa anakunywa soda. Nikajua sio mnywaji wa vileo
Hii nyekundu si unakunywa Damu kabisaa, aaaah