realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Ya MoyoBurudani ipi,
Ya moyo,?
Mind ?
Au viungo vya chini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya MoyoBurudani ipi,
Ya moyo,?
Mind ?
Au viungo vya chini?
Mh🤔Ila useme ukinywa lazima uombe mechi vibia vya kipuuzi ukilewa unaweza liwa hata na muokota makopo
Hiyo miziki itampasua kichwa jana kuna brother mmoja kala high life za kutosha zikampelekea kula vitumbua ,kapiga vitumbua 20 na vingine akaweka mfukoni.APIGE SMART GIN AU HIGH LIFE
Ni kama juice UkiNywa Ukiwa umekaa hulewi useme ngoja niamke sasa aloo 😂😂😂Mh ...hii pombe ni tamu ila kali balaa .
you're a fool with a PhD level of foolishnessMwenyewe
Hanson's choice, kunywa hiyo inanukia Nazi flani iviWanywaji na walevi waandamizi na wabobezi Karibuni. Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini.
Wekeni na sifa zake.
Unataka ajipupulieVisungura mkuu.
au anywe drosthof nilitaka nimshauri heineken ila nasikia zinachakachukuliwaa!Dompo ndo the best
Mwenyewe mara mia tisa elfuyou're a fool with a PhD level of foolishness
Basi bro nisamehe mara elfu ni nyingi sana nipunguzie 450Mwenyewe mara mia tisa elfu
Ice Black malizia. Akijimix zile zingine atachukia.Sminoff ice
Smirnoff, sema wengi ata hawajawahi kunywa hapo wanaenda na trend.Hii ni bia gani😄
Hahahahha atapata ukaribisho murua.Unataka ajipupulie
Ni beer?Smirnoff, sema wengi ata hawajawahi kunywa hapo wanaenda na trend.