Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
kilevi chenye maana zaidi ni kusoma vitabu gentleman, vinginevyo una hamu ya kujiingiza kwenye matatizo ambayo yanafedhea sana mwishowe 🐒Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
Moet & chandon nectar imperialWanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
MwenyeweAll drunkards are fools, and do you really want to be one of them?
PIGA KVANT NDOGO NA AZAM ENERGY MOJA INATOMBA BALAAWanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
Kumbe wewe sio beginner sasa. Omba ushauri kwa likonki linywe niniNishazinywa hizo. Zina hangover
Konyagi. Ukianza na konyagi hakuna kilevi kitakachokuzingua on your way of vilaji forever moreWanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini
WEkeni na sifa zake.
N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
Hakuna kinywaji kizuri kama maji hapa duniani. Nakuhakikishia ilo
Huna lolote we mlevi tu kama walev wengineNaomba ushauri ila niko preinformed,
Kumbe mzoefuNishazinywa hizo. Zina hangover
pita kwa wenye ng'ombeTunaokunywa mtindi tupite kimya kimya
😃 Acha kijana ainjoi maisha
Sure 😂pita kwa wenye ng'ombe
Naipenda sanaSminoff ice