Kilevi gani kizuri kwa wanaoanza?

Kilevi gani kizuri kwa wanaoanza?

Ni ka
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini

WEkeni na sifa zake.

N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni

Sasa pombe za nini kujifunza vitu visivyo na maana.Si unajua mambo ya figo siku hizi yqnazingua sana kwa sababu ya vinywaji visivyo standard ikiwemo vyenye ulevi.Si unajua cost za dialysisi zilivyochangamka
 
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini

WEkeni na sifa zake.

N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
kilevi chenye maana zaidi ni kusoma vitabu gentleman, vinginevyo una hamu ya kujiingiza kwenye matatizo ambayo yanafedhea sana mwishowe 🐒
 
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini

WEkeni na sifa zake.

N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
Moet & chandon nectar imperial
 
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini

WEkeni na sifa zake.

N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
PIGA KVANT NDOGO NA AZAM ENERGY MOJA INATOMBA BALAA
 
Wanywaji na Walevi waandamizi na Wabobezi Karibuni.
Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini

WEkeni na sifa zake.

N.B
Mods hiyo english word kwenye kichwa nadhani imekosewa tafadhari rekebisheni
Konyagi. Ukianza na konyagi hakuna kilevi kitakachokuzingua on your way of vilaji forever more
Hakuna kinywaji kizuri kama maji hapa duniani. Nakuhakikishia ilo
 
Back
Top Bottom