makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
For bigginer 😂? Aiseeee mtauwaaaa WamkuuAPIGE SMART GIN AU HIGH LIFE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For bigginer 😂? Aiseeee mtauwaaaa WamkuuAPIGE SMART GIN AU HIGH LIFE
Ila useme ukinywa lazima uombe mechi vibia vya kipuuzi ukilewa unaweza liwa hata na muokota makopoNaipenda sana
Hajaomba ushauri wa kinywaji kizuri, amesema kileviHakuna kinywaji kizuri kama maji hapa duniani. Nakuhakikishia ilo
Uzuri wake ni niniNaipenda sana
Muhimu, nakua nae pembeniIla useme ukinywa lazima uombe nechi
Inanipa burudani sana 😊Uzuri wake ni nini
Anza na konyagi chupa kubwaWanywaji na walevi waandamizi na wabobezi Karibuni. Nataka ninywe moja chapu na kesho niwe vizuri kazini.
Wekeni na sifa zake.
Mh ...hii pombe ni tamu ila kali balaa .Sminoff ice
KhaaDompo ndo the best
Usiruhusu dem wako atumie izo smirnof ikiwa hayupo na ww na akiwa na ww ujue kipochi manyoya lazima upewe na ubaya ukiwa umekunywa ww bao halitoki kama likitoka huwa kwa mbinde sana.Uzuri wake ni nini
Burudani ipi,Inanipa burudani sana 😊