Artistes JCB, Fid Q, Chidi BenzLanguage Swahili
Writer Jacob Makalla
Year 2010
Intro
ahhh...ahhhh
ohhh yeahhh..(shhhh!).. it\'s the remix
(shhhh!)...JCB....(ahhhh!).....Murder..!
(Tongwe Records Babyyyy)
Verse 1 (JCB)
Damu ilitapakaa baada ya ule mlio kulia PAAA,
Watu wote walisambaa hata walevi wa kwenye bar,
Sio polisi sio baunsa iliye kaa utashanga kwa nini mshkaji alizidi kumimina kwa kujiamini,
Amini usiamini akabaki tu na mimi,
Akanishikia bunduki kwa chini,
Akadai eti nimpe madini lasivyo ananipiga risasi kama sabini,
Anasura kama idi amini akarudi karibu atua tatu mpaka kabatini,
Akatamka HEYOO! nipo kazini nimetumwa mzigo au ujithamini,
Akanikanyaga kwa chini kikorofi bunduki tena akaikoki
Akasema kama simuonyeshi leo sio koki,jinsi alivyo akilenge ye akosi mikosi,
Kavaa koti jeusi jasusi,
Mikono nikaweka juu kuepuka nukx huku natukana mengi matusi...
Chorus X2
Ukisikia PAAAA...ujue imekukosa
Aliyelenga hana shabaha...amefanya makosa
Ukisikia PAAAA...ujue imekukosa
Aliyelenga hana shabaha...amefanya makosa
Verse 2 (Fid Q)
Wanasema hugeuka mnyama sana anaposaka pesa
Cha ajabu anavuta bangi lakini hawazii magangstar
Hampaki rangi donkey ili ageuke kuwa zebra
Ndo maana kabla hajaikoki, JCB ali-surrender
Akajifanya hayuko na mie ili niipigie defender
.............