20% sijui yuko wapi.........Producer wake Man Walter anampokelea tuzo...lol
I too love his works!...hajapendelewa!Hii Imetulia. 20% is one & only in Bongo Fleva today!
Anaitwa bibie Penniel MungilwaHuyu MC wa kike ni nani wakuu? I mean jina lake
Huyu jamaa kwa kweli tungo zake zimetulia!Hii Imetulia. 20% is one & only in Bongo Fleva today!
MhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhLina's great...................I like her
yaani Linah mbona anatia huruma? mbona anaimba vibaya namna hiyo, kweli wasanii wa kibongo hawawezi kuimba "live"
Mkuu, hizo nywele zake au kabandika "kafa-Ulaya"?Lina's great...................I like her
Unamwonea, wasanii wachache wa Bongo wanaweza kufikia kiwango hiki mkuuyaani Linah mbona anatia huruma? mbona anaimba vibaya namna hiyo, kweli wasanii wa kibongo hawawezi kuimba "live"