Hiki ninachokiona kwenye TV ni kinyaa kitupu, nakubaliana nanyi nyote mliochangia hapa hebu angalia huo wimbo wa washindi hata hujui wanaimba nini. Hao washereheshaji wamepwaya sana hata sijui wamewaokota wapi, huyo dada mwenye gauni la kitenge huyo mtoto wa clouds aliyeondoka ITV ambako alikua anasoma taarifa ya habari sasa anakaa kwenye kipindi amplifire hata sijui ni kipindi gani alichoona cha maana ni kuvalishwa nguo za kushona na remtula nguo za winter kwenye jangwa, siamini hiyo tuzo eti inaenda tena kwa yule mwehu wa ukisikia paa kwa kweli ni hovyo kabisa inamaana mama ntilie haujapata tuzo wimbo wa asilia unaozungumzia maisha halisi ya mtanzania ajabu na kweli jamani