Ungekuwa mfatiliaji mkubwa ungejua kuwa ata aiyola, imefanyiwa promo sanaaa kama hii nyimbo ya raymond "kwetu" inavofanyiwa.Mimi msikilizaji wa mziki, na mdau mwenye uelewa mkubwa kwenye mziki.
Agree...lara 1 hata umpigie kiki vipi Harmonize, lakini atachukua tuzo moja tuu.
weka maneno yangu kama kumbukumbu utajionea mwenyeww wakati wa ugawaji tuzo.. UPCOMING ARTIST AWARD inamuhusu nothing else
huu wimbo umependwa sana na wadada. hata sijui kwanini???Ungekuwa mfatiliaji mkubwa ungejua kuwa ata aiyola, imefanyiwa promo sanaaa kama hii nyimbo ya raymond "kwetu" inavofanyiwa.
Afu let's face the reality, aiyola ina ujumbe gani mpya?? Ina melody gan mpya? Nyimbo imejaa taste ile ile ya diamond.
Usiseme una uelewa mkubwa wa muziki, sema una mpenda sana harmonize.
Ukishakuwa WCB ata ukiimba "mabata madogo madogo" utapendwa tu na wadada, na utapata kick za kutosha.huu wimbo umependwa sana na wadada. hata sijui kwanini???
Ungekuwa mfatiliaji mkubwa ungejua kuwa ata aiyola, imefanyiwa promo sanaaa kama hii nyimbo ya raymond "kwetu" inavofanyiwa.
Afu let's face the reality, aiyola ina ujumbe gani mpya?? Ina melody gan mpya? Nyimbo imejaa taste ile ile ya diamond.
Usiseme una uelewa mkubwa wa muziki, sema una mpenda sana harmonize.
Kwanini? Kwasababu sio mkongwe? Ayoola inastihili hio tuzo, plus best RNB song of the year, best song. Ni wimbo mpaka vitoto vimeukubali.mi nafikiri tuzo ambayo anastahili huyu msemaji wa wcb ni best newcomer(chipukizi bora) na si vipengele vingine
Who is kapuka?...utafiti gani umetumika
nadhani hakuna ubish
Atachukua upcoming nyingine za ma bro zake akina jux,kiba, mond, belle, baraka nk.Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Tabia ya Kili Music Awards kufanya figisu figisu kuwajaza mituzo Dai na Kiba sio ishu. Mwaka huu wote minyimbo yao mibayaaaa.
On the other hand Harmonise na wimbo wake wa Ayoola ni mtamu sanaaaaa. Aisee anastahili walau tuzo 5. Kiukweli tena.
Afu yuko very humble, interview alivoulizwa anmuonaje Kiba, akasema ni mwanamziki mzuri na anaweza kufanya nae kazi inaonesha ukomavuuu katika fani. Kiukweli huyu kijana asiposhinda walau tuzo 5 mwaka huu patachimbika kama Miss Tz palivochimbika.
Siyo kama bos wake anatambia skendo... Baraka yupo fresh sn kwwnye uimbaj bt nje ya muziki kaanza kuboa kila siku kutolea ufafanuz skendo aaaachana na huo ushamba piga kazHivi ile ngoma ya Ayoola umeionaaa? Mitandaoni anaongelewa sababu ya mziki, which is a good thing, sio scandal
Haikuwa na promo?...ni hphp TZ au AUSTRALIA?Hizi ndo siasa nazozikataaa! Nana na Cheketua were all hype and marketing. Zilikuwa promoted sanaaaa tu, ila hazina jipya. Ayoola ulikuwa wimbo wa underground, hakuna promo wala siasa ila umepokelewa kwa mikono miwili.
Tuache kutoa tuzo kwa majina, tutoe kwa mziki mzuriii.
Kapukafact page on Twitter imebase kwenye kufuatilia mziki wa EA.Who is kapuka?...utafiti gani umetumika
..la msingi ni kupiga kura kwa wingi tu Mzee... Upcoming lazima achukue na asipochukua ntashindwa kuelewa
Kapuka inafatilia mziki EA ukiwa na maana ya nchi tano siyo?Kapukafact page on Twitter imebase kwenye kufuatilia mziki wa EA.
Upcoming lazima achukue na je akichukua nyimbo bora ya mwaka utakataa?