Kilicchotokea beef la leo kati ya pogba na mourinho,kumbe alimfukuza

nzagambadume

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2018
Posts
2,430
Reaction score
5,779
Wengi najua mmeona clip ya leo mazoezini kilichotokea kati ya pogba na mr Joseeee, ilionekana pogba akiwa kwenye good mood kaingia kwa mbwembweee kampa hi 5 michael carrick na staffs wengien ghafla mourinho katokea kwa nyuma na kuongea kitu uso wa pogba uka change kabisaa akanuna,sasa imetoka extendeded version anayosikika jamaa akimuambia staff mmoja ,TAKE PAUL HOME
nimeweka link ya sports bible kwa chini kuna clip yenyewe
http://www.sportbible.com/football/...hat-jose-mourinho-said-to-paul-pogba-20180926
 
Jose hana mbinu mbadala ya kutumia aweze kushinda
 
Pogba ndani ya Utd ni sawa na sehemu yenye kansa katika mwili.

Anapaswa kuondolewa ili timu ibaki salama
 
hawa watu wanachangia Sana be club yetu kuyumba


ila no way outπŸ‘†
 
hawa watu wanachangia Sana be club yetu kuyumba


ila no way outπŸ‘†
 
hawa watu wanachangia Sana be club yetu kuyumba


ila no way outπŸ‘†
 
Tumewakabidhi madaraka ya kulevyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Sisi kama wakatalunya tunapenda hili beef liendelee ili tuuziwe huyo bogba kwa bei ya kahawa
we jamaa kwanini haujapata likes mingimingi!?.. Yani MouYes kusema tutoe 200 nikatamani Pogbooom amgomee zaidi, zishuke hadi 100 kijana aje blaugrana chap!πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…