Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Furaha bila taji lolote ni uchawi na ukichaa, hapa ndio mtawajuwa wanaochota nyayo zenu mitaani na kuiba chupi zenu kupeleka kwa waganga kuwaroga.

Kuchukia mafanikio ya mwingine ni uchawi kamili.
Kuna ukichaa mwingine unaozidi hapa?[emoji23]
Screenshot_20230528-163703.jpg
 
Furaha bila taji lolote ni uchawi na ukichaa, hapa ndio mtawajuwa wanaochota nyayo zenu mitaani na kuiba chupi zenu kupeleka kwa waganga kuwaroga.

Kuchukia mafanikio ya mwingine ni uchawi kamili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee baba utakufa kwa pressure bureeee, wee sio wa kwanza kukosa kombe ktk final, why uvurugwee hivyooo?
Hebu relaaaaaaaaaaxxxxxxx
 
Pole babu mwenye phd yake feki mjini...
Yani sio mpk unioe ndo nikuloge hata ww naweza kukuloga huko huko uliko..
Mnaumia sana na mimi naona..yani mnakerwaa mno kuliko mnavyokerwa na joto lenu huko daslam ...sasa ndo nitawekera mpk mnyooke.. hasa kwa nyie baadhi yenu mnaochukulia vitu serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] woiiiiiiiiiih
 
Back
Top Bottom