Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

After final [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan nacheka huku naogopaaa, nyie mkishinda mkichukua ubingwaaa woiiiiiii.
Hahahaaa! Lol.

Ikiwa hivyo utajutttrraaaa Ntaani. 🤣🤣
 
Mia Alhamdulillah sijambo kabisa mdogo wangu.

Ndo hivyo tunaendelea na mishe zingine sa.
Nina mwananchi hapa kwangu jana nikawa kwenye mood mwenzangu kwenye masikitiko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
uk
Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
ukishakuwa overated ni rahisi sana kubondwa
 
Mtani hivyo hii furaha inaisha lini au ndo tunaenda nayo hadi msimu ujao. 🤣🤣🤣🤣
Furaha bila taji lolote ni uchawi na ukichaa, hapa ndio mtawajuwa wanaochota nyayo zenu mitaani na kuiba chupi zenu kupeleka kwa waganga kuwaroga.

Kuchukia mafanikio ya mwingine ni uchawi kamili.
 
Furaha bila taji lolote ni uchawi na ukichaa, hapa ndio mtawajuwa wanaochota nyayo zenu mitaani na kuiba chupi zenu kupeleka kwa waganga kuwaroga.

Kuchukia mafanikio ya mwingine ni uchawi kamili.
😅😅😅 Uuwiiii!!
 
Ukiowa mwanamke kama huyu umekwisha, pesa ya chakula Nyumbani ndio anakwenda kukulogea kwa waganga.
Pole babu mwenye phd yake feki mjini...
Yani sio mpk unioe ndo nikuloge hata ww naweza kukuloga huko huko uliko..
Mnaumia sana na mimi naona..yani mnakerwaa mno kuliko mnavyokerwa na joto lenu huko daslam ...sasa ndo nitawekera mpk mnyooke.. hasa kwa nyie baadhi yenu mnaochukulia vitu serious.
 
Pole babu mwenye phd yake feki mjini...
Yani sio mpk unioe ndo nikuloge hata ww naweza kukuloga huko huko uliko..
Mnaumia sana na mimi naona..yani mnakerwaa mno kuliko mnavyokerwa na joto lenu huko daslam ...sasa ndo nitawekera mpk mnyooke.. hasa kwa nyie baadhi yenu mnaochukulia vitu serious.
Sasa hapa si wewe ndio umechukulia serious, yani nimekutekenya kidogo tu unakojowa.
 
Back
Top Bottom