Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
- #61
SawaJohnny sucks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaJohnny sucks
Upewe maua yako tuDortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Fainali ya yanga ilikuwa hapa, na hapa imeshaisha... ile sio Club AfricainKwani sasa akishinda kesho ndo kawa bingwa? Si kuna mechi kule nyumbani kwa USG!
Haikuwa kejeli mkuu, ni mambo ya yanatokea sana katika maishaSiyo Yanga lakini sijaona alipotoa tahadhari zaidi ya kejeli. Huu Usimba na Uyanga wenu unawapunguzia Sana weledi.
Niliwaambia..Teyar wanalaana ya Mgunda ngoja uone matokeo leo..
Sio fail?uchawi utawasaidia nini sio fail makolo mlivotufanyia.
Mkuu ulijuaje au wewe ni nabii yule?Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
spelling error ama? kama ni hiyo tusameheane tunamajonzi.Sio fail?
Zamani SanaMchezo umeisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtasema mengi wale mabwana zenu waarabu wanachinjwa, chaka lenu linapotea
Mshinde kwa mpira gani mlio nao??Tukishinda mtakuja na taarab zingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ongezaaa sautiiiiijezi nyeusi hazijawahi kumuacha mtu salama. endelea kuota.