Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Ukipania Sana New papuch unaibika
Dkk ya 6 ifanye kama ya kawaida ukishaiona tena
 
Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Watu wamebet tatizo limeanzia hapo
 
Mshindi wa ile mechi alipata nini?
Alipata hiki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]
20230511_103200.jpg
 
Kwani sasa akishinda kesho ndo kawa bingwa? Si kuna mechi kule nyumbani kwa USG!
 
Waliweka ulinzi dhaifu sana team nzima ikawa na mentality ya kufunga goli la ushindi
Hii sidhani kama itatokea kwa Yanga ulinzi kwanza Kisha shambulia kwa kushtukiza
 
Afu nan ametudanganya kujaza uwanja ndio kuwin game, unawezafungwa popote pale kinachoshinda nimbinu tu zamchezo naubora wakikosi tuliwai kufungwa namazembe hapo taifa huku uwanja ukiwa umefurika
 
Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Teyar wanalaana ya Mgunda ngoja uone matokeo leo..
 
Mtu katoa tahadhari, lakini anaishia kupopolewa. Mnadhani hata kule kambini Naby hawaambii wachezaji kuwa "msijiamini kupita kiasi kuwa tayari mmeshakuwa mabingwana na kujaa mihemuko. Remember, it's not over until it's over". Hafu mleta uzi akitoa tahadhari anaaza kutukanwa.
Siyo Yanga lakini sijaona alipotoa tahadhari zaidi ya kejeli. Huu Usimba na Uyanga wenu unawapunguzia Sana weledi.
 
Back
Top Bottom