Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inonga, kibu dengajezi nyeusi hazijawahi kumuacha mtu salama. endelea kuota.
Watu wamebet tatizo limeanzia hapoDortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Lile bonanza una hesabu?Inonga, kibu denga
Kwahiyo mlishangilia kuchukua kombe la bonanza?Lile bonanza una hesabu?
Mshindi wa ile mechi alipata nini?Kwahiyo mlishangilia kuchukua kombe la bonanza?
Alipata hiki[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji23][emoji23][emoji23][emoji24]Mshindi wa ile mechi alipata nini?
Alipata magoli mawili kama huamini mcheki mdaka mishaleMshindi wa ile mechi alipata nini?
Teyar wanalaana ya Mgunda ngoja uone matokeo leo..Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Siyo Yanga lakini sijaona alipotoa tahadhari zaidi ya kejeli. Huu Usimba na Uyanga wenu unawapunguzia Sana weledi.Mtu katoa tahadhari, lakini anaishia kupopolewa. Mnadhani hata kule kambini Naby hawaambii wachezaji kuwa "msijiamini kupita kiasi kuwa tayari mmeshakuwa mabingwana na kujaa mihemuko. Remember, it's not over until it's over". Hafu mleta uzi akitoa tahadhari anaaza kutukanwa.