Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Kilichoitokea Dortumund kitatokea Yanga kesho

Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Umeongea kiwanamchezo sio wale wengine wanasema kwenye ulimwengu wa roho 👻.

Hilo linawezekana kabisa mpira una mambo mengi sana jambo la msingi bench la ufundi lifanye kazi yake ya Psycolgy kwa wachezaji.

Lakini pia vyovyote itakavyokuwa Yanga imetuheshimisha hatua iliyofikia
 
Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Usikariri..

Hao Waarabu ni kama Marumo tu.....watapigwa vizuri tu.

Kila laheri Uto...
 
Mtu katoa tahadhari, lakini anaishia kupopolewa. Mnadhani hata kule kambini Naby hawaambii wachezaji kuwa "msijiamini kupita kiasi kuwa tayari mmeshakuwa mabingwana na kujaa mihemuko. Remember, it's not over until it's over". Hafu mleta uzi akitoa tahadhari anaaza kutukanwa.
Achana na hao utopolo wanaoendeshwa na mihemko...lets wait and see.
 
Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa

Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu

Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Na iwe hivyo
 
Kwenye mpira chochote kinawezekana lakini hiyo ya kutufananisha na fulani umechemka Mkuu.

Yanga ni Yanga na Dortmund ni Dortmund. Huo ndo ukweli.
Kwenye mpira timu tofauti lakini kuna vitu vingi vinafanana, ikiwemo suala la saikolojia za wachezaji, wote ni binadamu, wanakua na presha na paniki
 
Back
Top Bottom