Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Sahihi, Muda ni hakimu.Muda UTATOA MAJIBU mkuu.
NGOJA tusubiri muda ndio msema kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, Muda ni hakimu.Muda UTATOA MAJIBU mkuu.
NGOJA tusubiri muda ndio msema kweli.
Ndio kombe lenu hiloAlipata magoli mawili kama huamini mcheki mdaka mishale
Umeongea kiwanamchezo sio wale wengine wanasema kwenye ulimwengu wa roho 👻.Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Mgunda ndio nani?Teyar wanalaana ya Mgunda ngoja uone matokeo leo..
Usikariri..Dortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Mpira haiko hivyo bro, unaweza kushangaa Hawa Marumo tulipowapiga ndani nje tukicheza nao leo wakatutoa kamasi, so tuheshimu mpiraUsikariri..
Hao Waarabu ni kama Marumo tu.....watapigwa vizuri tu.
Kila laheri Uto...
Uliuliza alipata kombe gani au uliuliza alipata nini?Ndio kombe lenu hilo
Achana na hao utopolo wanaoendeshwa na mihemko...lets wait and see.Mtu katoa tahadhari, lakini anaishia kupopolewa. Mnadhani hata kule kambini Naby hawaambii wachezaji kuwa "msijiamini kupita kiasi kuwa tayari mmeshakuwa mabingwana na kujaa mihemuko. Remember, it's not over until it's over". Hafu mleta uzi akitoa tahadhari anaaza kutukanwa.
Mgunda kaongea vizuri tu wewe tena umeanza mautabiri Yako..Teyar wanalaana ya Mgunda ngoja uone matokeo leo..
Hahahaaa! Kabisa kabisa 😅Mashabiki wa Kolo FC watakuwa machizi endapo Yanga akichukua ubingwa.
Japo umetuita jina tusilolipenda lakini sijali wala nini.Usikariri..
Hao Waarabu ni kama Marumo tu.....watapigwa vizuri tu.
Kila laheri Uto...
Na iwe hivyoDortmund walikuwa na 'fainali' yao leo, baada ya kukosa ubingwa kwa miaka 11 wangeshinda leo, wangekuwa mabingwa
Basi wakajaza uwanja "FULL HOUSE" kama Yanga, shangwe nyingi na vifijo, ila wakaambulia patupu
Kwenye maisha kitu ukikipania sana unakikosa sababu ya presha na paniki
Mifano ipo mingi tu, sema nilitumia huo sababu ndio ulikuwa umetokea janaUmeenda mbali sana mkuu ungetumia hata ile ya Taifa stars vs Uganda
Kwenye mpira timu tofauti lakini kuna vitu vingi vinafanana, ikiwemo suala la saikolojia za wachezaji, wote ni binadamu, wanakua na presha na panikiKwenye mpira chochote kinawezekana lakini hiyo ya kutufananisha na fulani umechemka Mkuu.
Yanga ni Yanga na Dortmund ni Dortmund. Huo ndo ukweli.