Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

zari ni mwanamke mzuri asee hapo kishaingia leba mara tano.....yupo hivo
wakati.wenzangu na mie hata mama hawajaitwa ila matumbo yamemwagika tayari
 
hivi naomba kuuliza dunia ni kubwa au pesa ni kubwa kuliko dunia.kwa dini ya kiislamu mtoto bila ndoa ni halamu na shk.anapiga dua na mapambio.kweli tutafute pesa kukabili dini
 
hivi naomba kuuliza dunia ni kubwa au pesa ni kubwa kuliko dunia.kwa dini ya kiislamu mtoto bila ndoa ni halamu na shk.anapiga dua na mapambio.kweli tutafute pesa kukabili dini

Shehe mchumia tumbo huyo,watoto wa Zinaa hao.

Kwanza Diamond si muislam mwenzetu
 
hivi naomba kuuliza dunia ni kubwa au pesa ni kubwa kuliko dunia.kwa dini ya kiislamu mtoto bila ndoa ni halamu na shk.anapiga dua na mapambio.kweli tutafute pesa kukabili dini
Iv waislam hawama msamaha kwa watoto kama wakristo??
 
Umesahau kitu muhimu saaana
........ anaweza pia leo akatimiza siku 40.. kesho tu kabla ya kusign iyo mikataba.... akarudisha number kwa MUNGU ..
yoote yanawezekana.... usijisahau saaana...
Unaelekeza njia ya usipopajua.
Dunia mapito.
Mchawiii wew
 
Wazinzi wakazini mpaka wakapata watoto, arobaini ya mtoto kukawa na maulid +baikoko+kaswida. Tena Sheikh anahudhuria.

Kuna wakati tumuogope Mungu, hii mixer sio
Acheniii kujishetuaa wew hujaxiniu, unajuaj wazaz wako walizin ndo ukatolewa wew, mu kwendreeeee kule , kujifanya nyie mahakimuu kajamben mbelee mxieeeeerrw
 
Dah kwakwel hua hamkosekanagi. dah hata mtoto mdogo mnamuombea mabaya kisa kuwaziwa mema
dah aise poleni mnunue sumu mnywe kwa staili hio duh sio kwa uchungu huo
Na wafee kabisaaa tenaa hapo wanatumiaa simu za promisheni tigo na vodaa[emoji16][emoji16][emoji16]ikiwaumaa wamezee wembee na wabonyez reli kuthibitishaaa, wajinyonge[emoji3][emoji3]
 
zari ni mwanamke mzuri asee hapo kishaingia leba mara tano.....yupo hivo
wakati.wenzangu na mie hata mama hawajaitwa ila matumbo yamemwagika tayari
Kitu kinachonivutia bado anauwezo wa kukaa na bikini tu akiwa na Diamond, wa ngapi wa umri wake wana guts za kufanya hivyo tena baada ya watoto watano?
 
Ambaye hajawahi kufanya uzinifu na awe wa kwanza kuwarushia mawe.
Nani leo kutwa nzima mpaka sasa hajatenda dhambi?
Binafsi nipo sehemu fulani napokea rushwa.
Kunywaaa waragii barid[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kipato chake hakijulikani kinapotoka.
Haiwezekani hali ya uchumi imeyumba namna hii alafu anafanya kufuru.

Hata raisi wa mkoa(Makonda) hajafanya kitu kama hii.

Kamishna wa Drugs prevention naomba mumuite huyu dogo ahojiwe!
Sasa ulitakaa ufanyaj kwa mfanoo[emoji108] [emoji108] [emoji108] naona una nyege za mchana , umaskini wa ukoo wako ndo wa mondii kwendraaa Kule, kajambe mbelee
 
Hivi Nafue ni team Wema? Si kwa kuwapaka hivi make up jamani ila wamependeza kidogo
 
Kipato chake hakijulikani kinapotoka.
Haiwezekani hali ya uchumi imeyumba namna hii alafu anafanya kufuru.

Hata raisi wa mkoa(Makonda) hajafanya kitu kama hii.

Kamishna wa Drugs prevention naomba mumuite huyu dogo ahojiwe!
Yaani shoo alizo piga juzi juzi huzikumbuki? Hizo tu zinatosha kufanya hiyo function
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…