Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Wazinzi wakazini mpaka wakapata watoto, arobaini ya mtoto kukawa na maulid +baikoko+kaswida. Tena Sheikh anahudhuria.

Kuna wakati tumuogope Mungu, hii mixer sio
Ambaye hajawahi kufanya uzinifu na awe wa kwanza kuwarushia mawe.
Nani leo kutwa nzima mpaka sasa hajatenda dhambi?
Binafsi nipo sehemu fulani napokea rushwa.
 
Umesahau kitu muhimu saaana
........ anaweza pia leo akatimiza siku 40.. kesho tu kabla ya kusign iyo mikataba.... akarudisha number kwa MUNGU ..
yoote yanawezekana.... usijisahau saaana...
Unaelekeza njia ya usipopajua.
Dunia mapito.
Hizo ni risk ambazo hata kwny bsness zipo....so usi zi count for now count profit...kwn ww hufany chochote just bcoz unaeza kufa kesho?
Hahahaha
Idriss kaniua hapo mwisho

Et primce nillan aongee na wananchi
 
Mi niko hapa mbele kabisa, namuona Le Mutuz kapendeza na kaptura yake lakini sijui kama kasahau kufunga vifungo vya shati au joto tu. More news to come.......
 
sio kwa tifah tu
Mimi mzazi yoyote anayemsuka rasta bintiye ni mpumbavuuu
kweli kabisa mshamba kabisa mtoto ni mtoto let her be upuuz wako hajakuomba umfanyie atafanya badae akikua na kuamua.tuache mikumbo ndo mana mtoto mdogo hashikiki si wakiume wala kike kha!
 
16229445_1708108512834669_1533847552862978048_n.jpg
16585672_185167415308604_3792217708733399040_n.jpg
16583776_198517560625815_1180940496856416256_n(1).jpg
16464971_249029528881935_6630947901751164928_n.jpg
 
Back
Top Bottom