Kilichojiri kwenye 40 ya Mtoto wa Diamond Platnumz (Nillan Nassib Abdul)

Si unaona GSM washafanya YAO
 
Duuuh hatar sn
 
nimeshushuliwa mwenzio nimeambiwa mpk first world wanasuka

kila mzazi na maamuzi yake
shoga angu tukae kimyaa....
Hater wa mwendokasi[emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]

Ukweli zari kaonekana uhalisia wake! Nadhani hiki kipindi cha ma ishu ya kukutana na kadamnasi huwaga ni kipindi kibaya sana kwake! Visimu mshenzi havina editing vinamtoa kama alivyo...

Tuliomuona Mlimani City tulijionea maajabu!
 
Na kuna watu wametega camera kutaka kumfotoa hata akiongea loh
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] camera 2600 at work.....

watamkomesha Leo na tecno zetu picha zitatoka negative balaaa
 
hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…