Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla ya kuandika huo ujinga ?Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvulimia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Ameandika akiwa na "nusu kaputi"....Ulishirikisha halmashauri ya kichwa chako kabla ya kuandika huo ujinga ?
Inawezekana amemtema kijanja, kwanini asimuongeze mkatabaUzi wako una majungu mengi na maneno ya kubumba.
Diamond alipost kumuaga kitenge akisema kwamba mkataba wake umeisha na ameamua kurudi nyumban(EFM) nashangaa wewe unakuja na maneno ya kutunga sijui umetoa wapi.
Labda za kijamii...Mi swali langu hzo safari huwa anaenda kufanya nini , je ni bussnes man? Je ni safari za kikazi ?
Huenda kapata jimama au jibaba...[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848]Labda za kijamii...
Kuna tetesi ameachana na wake zake wote wawili. Huenda kapata jimama au jibaba...
Now days umekua namihemko sana kma teenagers, umejuaje kma hio ndio issue iliomuondoa kazin??Tuwe wakweli kwenye hili ukiwa na mfanyakazi ambaye muda mwingi anakuwa nje ya kituo cha kazi ufanisi unapungua
Kipindi cha korona ya kwanza ulaya wafanyakazi waliruhusiwa kufanya kazi zao nyumbani...ombwe la ufanisi lilionekana wazi
Kwenye ajira kuna taratibu za ruhusa na likizo na zina vikomo vyake... Hili watalielewa tu wale walio katika ajira rasmi na hasa ambazo si za serikali na utumishi wa uma
Nani!? Huwa sijadili watu ...najadili hoja..na kwenye hoja yangu nikamalizia na maneno haya...Now days umekua namihemko sana kma teenagers, umejuaje kma hio ndio issue iliomuondoa kazin??
Hilo la kusafiri lipo ndani ya mkataba"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvulimia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Kwamba ni bachelor kwa Sasa...Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Jibaba ? KheeeLabda za kijamii...
Kuna tetesi ameachana na wake zake wote wawili. Huenda kapata jimama au jibaba...
🤣Hilo la kusafiri lipo ndani ya mkataba
Majizo kavunja tu benki ili kuvunja mkataba
Bakhresa alipotaka kuimarisha Ufm alivunja benki na kumnunua Mussa Kawambwa toka wasafi ambae sidhani kama alishamaliza mwaka toka ajiunge na wasafi kutoka Azam Tv
Huu ni wakati wa biashara huria,vijana wanapiga pesa kwa kutumia makoo yao,wewe kama umeajiriwa Radio Tanzania,kaa hapo hapo kwa miaka 30,halafu uzawadiwe baiskeli na cheti
Sasa Ni lazima kuongezewa mkataba!!?Inawezekana amemtema kijanja, kwanini asimuongeze mkataba
Kwahiyo unamanisha diamond hana uwezo wa kwenda huko marekani?Au diamond ana ona wivu kwann mfanyakazi wake ana kwenda sana merekani kuliko yeye boss ? ..huu wivu mbaya sanaaaa
[emoji1][emoji1][emoji1] Nilitazama leo akiwa efm live na kasuti kake na sun glass zake .......
Eboo!! Unasema kwl?Mchicha mwiba?