Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Na yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watu

Iyo tasnia ina mwenyewe bana mc garab yule jamaa hapana kwa kweli kuanzia jumatano mpaka jumapili already booked kila wiki.....aliesema hawa watu walipe kodi alikuwa sahihi sana
Kwakweli Ile kaz ina wenyewe
Na ukishajulikana kwenye sherehe
Kumi bas 4 n zako

Anajikosha huko Ila hamna ktu kaisha
 
"Kutoka kwenye chanzo cha karibu " nilivyo ona hivi nikajua ni uongo.

Huyo chanzo cha karibu, mara nyingi anakuwaga mfanyakazi wa Shigongo so huu umbea, Kitenge watu wamempandia dau,kama wao walivyo mpandia dau kipindi akiwa EFM.

View attachment 1883513
Mkuu umepiga mulemule!

Mleta mada Oscar Ndauka, ni ripota wa magazeti ya udaku ya Shigongo!
 
Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.

"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.

"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Haaaaaa kumbe

Sent from my CPH2015 using JamiiForums mobile app
 
Diamond hana uwezo wakumuachisha kazi kitenge acha kudanganya watu ww mtoa mada hivi huyo diamond kila anavyowadanganya mnakubali
 
Kurudi Tu efm watu wamepanda na dau
Screenshot_2021-08-11-11-46-42-088_com.instagram.android.jpg
 
Na yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watu

Iyo tasnia ina mwenyewe bana mc garab yule jamaa hapana kwa kweli kuanzia jumatano mpaka jumapili already booked kila wiki.....aliesema hawa watu walipe kodi alikuwa sahihi sana
Huna tofauti na mwigulu, na kama nawe ni mmoja ya wanaolalamikia Tozo utakuwa na unafki ndani yako
 
Diamond hana uwezo wakumuachisha kazi kitenge acha kudanganya watu ww mtoa mada hivi huyo diamond kila anavyowadanganya mnakubali
Duh! Unamaanisha Nini kuwa Hana uwezo"?
 
Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.

"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.

"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Hivi ni nani anayegharamia hizi safari? Mimi nna wasi wasi na huyu jamaa, anaonekana ni member wa Cabal fulani yupo kwa kazi maalumu.
Namkumbuka jinsi alivomsukuma yule askari mwenye bastola aliyemtishia Nape.
 
Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.

"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.

"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Hili andiko linaonekana wazi wazi limeandikwa "kitandale tandale" yaani akili za akina Babu Tale, Manara na Diamond mwenyewe....Kama wangemfukuza kazi wasingekimbilia kuhonga mamilioni hili kufunga akaunyi zake za twitter na Instagram..wamefanya hivyo kwa kuogopa nguvu aliyonayo mtandaoni na kwa akili yao ndogo wakadhani wakifanya "makaratee" akaunti zake zikafungwa watakuwa wamemmaliza kumbe ndio sasa wanamtengezea soko jipya zaidi kwani wale wa zamani watamtafuta na kuambiwa alipo sasa arafuy wale waliokuwa hawamjui /au wasiomfuata kama mimi sasa watataka au tutataka kumjua zaidi... atizo Mondy alivyomchukua akajisahau akidhani yeye ndiyo kila kitu katika kuwamiliki watangazaji maarufu..Hek kwa Majizzo akili kubwa
 
Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month

650K per month Dola au madafu?
 
Back
Top Bottom