Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake
Sasa kwa nini Kitenge aliondoka EFM kwenda Wasafi au baada ya kutoka EFM kwenda Wasafi EFM walikuwa wanampa kiasi gani?
 
Sasa kwa nini Kitenge aliondoka EFM kwenda Wasafi au baada ya kutoka EFM kwenda Wasafi EFM walikuwa wanampa kiasi gani?
Kuna mshahara na marupurupu hivo hpo ujue kutofautisha mtu anaeza kuwa anapokea 300k ila marupurupu ya millions of money
 
Kuna mshahara na marupurupu hivo hpo ujue kutofautisha mtu anaeza kuwa anapokea 300k ila marupurupu ya millions of money
EFM alipotokaga kwenda Wasafi walikuwa wanampa shilingi ngapi EFM.

Halafu zingatia hili "....hii Tasnia ni Biashara........",manake hata kesho anaweza toka eFM kuja Wasafi au hata kwenda sehemu yoyote.
Screenshot_20210809-080427_Instagram.jpg
 
Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Ufafanuzi ukisema 600k unamaanisha laki sita!!? au milioni sita?
 
Unahisi anaweza akawa shushushu la CIA
CIA sio wazembe hivo hawawezi tumia jasusi anayeenda kwao. Wakiwa na agent wanakuwa wanamtuma nchi ambayo hawahusiki nayo kabisa, utaona mtu anaenda Spain au Misri na kule anakutana na carrier.

Kesi ya kwanza kabisa ya ushushushu hapa Tanzania miaka ya 60s mtuhumiwa alikuwa anatuma taarifa Uingereza kwa mtu asiyemjua ila yule aliyekuwa Uingereza alikuwa ni agent wa makaburu wa South Africa. Kwahiyo ukija kichwa kichwa ungejua wanaochukua taarifa ni Waingereza
 
Mkuu huo ndo uhalisia unadhani kwanini jonijoooo aliondoka kwanini dazen hakuja pale we unazani wakiwalipa mamilioni hizo hela wanatoa wapi karibu kuangalia pia coverage yao na ujiulize ni watu wangapi wanatune in kuskiliza au kuangalia wasafi na matangazo yao kwa siku kiufupi hamna faida pale mkuu hali ni ngumu Sana labda Azam na kidogo clouds Tena clouds ni enzi za marehemu na fiesta zake
Wewe jamaa ni mshamba sana..
 
Usiamini story za JF kama hizi. Yani Kitenge anazidiwa salary na mwalimu wangu aliyenifundisha A, E, I, O, U ambaye alipandishwa daraja. Bora mnione mwehu ila siwezi amini hili
Kabisa mkuu.
 
Hata cjui aiseee cjmskia popote
Yani cjui aliwafanya nn clouds

Namuona huko insta kageuka
Kawa Mc

Aliwaringia efm akaona
Bado wadogo sio hadhi yake
Na yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watu

Iyo tasnia ina mwenyewe bana mc garab yule jamaa hapana kwa kweli kuanzia jumatano mpaka jumapili already booked kila wiki.....aliesema hawa watu walipe kodi alikuwa sahihi sana
 
Back
Top Bottom