Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Kilichomfukuzisha kazi Maulidi Kitenge Wasafi FM chajulikana

Poa. Naye atafute WASAFI yake aone uchungu wa kubwabwaja mali. Madume suruali bwana, yanakera.
yaani nimepata safari za kukwea mji pipa kuelekea ughaibuni!!nikae hapo nakula vumbi kwa nini?? Lazima utakuwa umerogwa tu wewe...

Ulaya bana ukiwa na connection nzuri kucheka au kulia tu unalipwa hela ndefu.....utasikia "once more... Myeeeee!!! Heee! mayooo! Wantela waitu Mweeeee!!.jilambwene mayaweee!!jili kuchibhunu!!

Tena basi ukae Daisalama kipawa joto!
mavi ya viwandani Kwa bakhresa nk wewe!.
miungurumo ya midege wewe!!... Asa weye ntu sanamu?
Maji ya visima vyenye mavi wewe.
Wasimbe wengi wako hapo

huyo boss mtoro na anifukuze tu!!
 
Alitoka efm na kitenge si ndio
Yeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.
Kwa hiyo wakakutana watu waliowahi kufanya kazi sehemu moja.
Baada ya miezi miwili sijui mitatu, Mussa akapiga U TURN akarudi UFM.
 
yaani nimepata safari za kukwea mji pipa kuelekea ughaibuni!!nikae hapo nakula vumbi kwa nini?? Lazima utakuwa umerogwa tu wewe...

Ulaya bana ukiwa na connection nzuri kucheka au kulia tu unalipwa hela ndefu.....utasikia "once more... Myeeeee!!! Heee! mayooo! Wantela waitu Mweeeee!!.jilambwene mayaweee!!jili kuchibhunu!!

Tena basi ukae Daisalama kipawa joto!
mavi ya viwandani Kwa bakhresa nk wewe!.
miungurumo ya midege wewe!!... Asa weye ntu sanamu?
Maji ya visima vyenye mavi wewe.
Wasimbe wengi wako hapo

huyo boss mtoro na anifukuze tu!!
Paragraph namba mbili nimeipenda/nimeielewa.
[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112]
 
Ila mbona kabla hajaenda wasafi fm hizi safari alikuwa nazo?

Au mtu aliyempa mktaba alikuwa hajayaona haya kabla ya kumtoa Efm?


Maulid Wa Kitenge Kocha Mchezaji alienda Wasafi fm kwa kandarasi ya muda mfupi lengo kubwa ni kuikuza/ku-brand kituo hicho maana kilikuwa bado kichanga ukilinganisha na sasa.

La lengo limekamilika sasa udaku na story za blog zetu zitatengeneza kila story za mbwembwe.
 
Yeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.
Kwa hiyo wakakutana watu waliowahi kufanya kazi sehemu moja.
Baada ya miezi miwili sijui mitatu, Mussa akapiga U TURN akarudi UFM.
Duuuh jamaa alishaanza jenga jina kule ufm na kipindi chake cha michezo kumbe alikuja kusepa na kurudi tena tamaa za umaarufu izi....
 
Tuwe wakweli kwenye hili ukiwa na mfanyakazi ambaye muda mwingi anakuwa nje ya kituo cha kazi ufanisi unapungua
Kipindi cha korona ya kwanza ulaya wafanyakazi waliruhusiwa kufanya kazi zao nyumbani...ombwe la ufanisi lilionekana wazi
Kwenye ajira kuna taratibu za ruhusa na likizo na zina vikomo vyake... Hili watalielewa tu wale walio katika ajira rasmi na hasa ambazo si za serikali na utumishi wa uma
Huyu Mwamba Mau anafanya biashara gani kule kwa Joe Biden??
 
Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.

Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.

"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.

"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvulimia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
We subiri,kasema kitenge jumatatu kesho anafunua kila kitu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Bora wamepunguza wapiga kelele , gakuna mtangazaji pale Duamond alitupiga kwa yule jamaa
 
Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
600k🤔🤔🤔 hapana hapa tunapigwa, Maulidi sio mtangazaji mzuri ila pia sio wa kulipwa 600k
 
Back
Top Bottom