Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani nimepata safari za kukwea mji pipa kuelekea ughaibuni!!nikae hapo nakula vumbi kwa nini?? Lazima utakuwa umerogwa tu wewe...Poa. Naye atafute WASAFI yake aone uchungu wa kubwabwaja mali. Madume suruali bwana, yanakera.
Yule ana mambo yake yule,,pengine mtu ya systemNi wasafi walikua wanagharamia safari?
Ngangaripoa=mchicha mwiba=choko fresh.Ngangaripoa
'Mzungu' wake ndiyo alikuwa anagharamia, WASAFI hata senti moja hawajawahi kuchangia kwenye safari zake.Ni wasafi walikua wanagharamia safari?
Yeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.Alitoka efm na kitenge si ndio
Usijiulize, 'ile' michezo hutoa hamu ya 'kufanya' na pia wives uanawaona gozigozi.Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Safari safari nyingi isije ikawa na Sembe zinabebwa katika izo safari, au Kuna madhumuni mengine ya izo safar
Ni private.Mi swali langu hzo safari huwa anaenda kufanya nini , je ni bussnes man? Je ni safari za kikazi ?
Paragraph namba mbili nimeipenda/nimeielewa.yaani nimepata safari za kukwea mji pipa kuelekea ughaibuni!!nikae hapo nakula vumbi kwa nini?? Lazima utakuwa umerogwa tu wewe...
Ulaya bana ukiwa na connection nzuri kucheka au kulia tu unalipwa hela ndefu.....utasikia "once more... Myeeeee!!! Heee! mayooo! Wantela waitu Mweeeee!!.jilambwene mayaweee!!jili kuchibhunu!!
Tena basi ukae Daisalama kipawa joto!
mavi ya viwandani Kwa bakhresa nk wewe!.
miungurumo ya midege wewe!!... Asa weye ntu sanamu?
Maji ya visima vyenye mavi wewe.
Wasimbe wengi wako hapo
huyo boss mtoro na anifukuze tu!!
Duuuh jamaa alishaanza jenga jina kule ufm na kipindi chake cha michezo kumbe alikuja kusepa na kurudi tena tamaa za umaarufu izi....Yeye alitangulia kutoka EFM kabla ya kitenge akaenda azam (ufm). Kitenge alivyoenda wasafi, na Mussa Kawambwa akaja akitokea ufm.
Kwa hiyo wakakutana watu waliowahi kufanya kazi sehemu moja.
Baada ya miezi miwili sijui mitatu, Mussa akapiga U TURN akarudi UFM.
Huyu Mwamba Mau anafanya biashara gani kule kwa Joe Biden??Tuwe wakweli kwenye hili ukiwa na mfanyakazi ambaye muda mwingi anakuwa nje ya kituo cha kazi ufanisi unapungua
Kipindi cha korona ya kwanza ulaya wafanyakazi waliruhusiwa kufanya kazi zao nyumbani...ombwe la ufanisi lilionekana wazi
Kwenye ajira kuna taratibu za ruhusa na likizo na zina vikomo vyake... Hili watalielewa tu wale walio katika ajira rasmi na hasa ambazo si za serikali na utumishi wa uma
We subiri,kasema kitenge jumatatu kesho anafunua kila kituWadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvulimia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
600k🤔🤔🤔 hapana hapa tunapigwa, Maulidi sio mtangazaji mzuri ila pia sio wa kulipwa 600kMkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Dhuuuu aiseeee Kwa hyo jamaa n bachelorNachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
KABISA MZEE, IT WAS ONE OF THE BEST COMBINATION CHUMVI & NDIMUKipindi cha magazeti wasafi kita yumba ata ondoka na wasikilizaji wake lakini kwenye michezo sioni Kama wasafi wata yumba.