Kwakweli Ile kaz ina wenyeweNa yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watu
Iyo tasnia ina mwenyewe bana mc garab yule jamaa hapana kwa kweli kuanzia jumatano mpaka jumapili already booked kila wiki.....aliesema hawa watu walipe kodi alikuwa sahihi sana
Mkuu umepiga mulemule!"Kutoka kwenye chanzo cha karibu " nilivyo ona hivi nikajua ni uongo.
Huyo chanzo cha karibu, mara nyingi anakuwaga mfanyakazi wa Shigongo so huu umbea, Kitenge watu wamempandia dau,kama wao walivyo mpandia dau kipindi akiwa EFM.
View attachment 1883513
[emoji848]heeee ni kweli?Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo
Haaaaaa kumbeWadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Huna tofauti na mwigulu, na kama nawe ni mmoja ya wanaolalamikia Tozo utakuwa na unafki ndani yakoNa yeye anasaka 2m za umc kwenye masherehe ya watu
Iyo tasnia ina mwenyewe bana mc garab yule jamaa hapana kwa kweli kuanzia jumatano mpaka jumapili already booked kila wiki.....aliesema hawa watu walipe kodi alikuwa sahihi sana
Duh! Unamaanisha Nini kuwa Hana uwezo"?Diamond hana uwezo wakumuachisha kazi kitenge acha kudanganya watu ww mtoa mada hivi huyo diamond kila anavyowadanganya mnakubali
Hivi ni nani anayegharamia hizi safari? Mimi nna wasi wasi na huyu jamaa, anaonekana ni member wa Cabal fulani yupo kwa kazi maalumu.Wadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Hili andiko linaonekana wazi wazi limeandikwa "kitandale tandale" yaani akili za akina Babu Tale, Manara na Diamond mwenyewe....Kama wangemfukuza kazi wasingekimbilia kuhonga mamilioni hili kufunga akaunyi zake za twitter na Instagram..wamefanya hivyo kwa kuogopa nguvu aliyonayo mtandaoni na kwa akili yao ndogo wakadhani wakifanya "makaratee" akaunti zake zikafungwa watakuwa wamemmaliza kumbe ndio sasa wanamtengezea soko jipya zaidi kwani wale wa zamani watamtafuta na kuambiwa alipo sasa arafuy wale waliokuwa hawamjui /au wasiomfuata kama mimi sasa watataka au tutataka kumjua zaidi... atizo Mondy alivyomchukua akajisahau akidhani yeye ndiyo kila kitu katika kuwamiliki watangazaji maarufu..Hek kwa Majizzo akili kubwaWadau, kichwa cha habari chajieleza. Mtangazaji Maulidi Kitenge hajaondoka Wasafi FM Radio bali amefurushwa kwa sababu ya safari zake za mara kwa mara nje ya nchi, hususan nchini Marekani.
Kwa mujibu wa chanzo cha ndani kutoka Wasafi FM, Maulidi Kitenge amekuwa akienda nchini Marekani kwa mwaka mara nne jambo ambalo limekuwa likimkera CEO wa Wasafi, Nasibu Abdul 'Diamond'.
"Mfano, Novemba mwaka jana alikwenda Marekani. Januari mwaka huu, wakati Rais Joe Biden anaapishwa akaenda. Machi akaenda tena, mwezi Julai pia akaenda, mpaka unaingia Agosti yuko kule. Diamond akaona jamaa anakuwa nje ya kituo cha kazi muda mwingi, akaamua kumtimua," kilisema chanzo hicho.
"Amekuwa akitumia nguvu kubwa kutuma matangazo yake Wasafi akiwa kule, kama kusoma Magazeti (Kurasa za Magazeti, Chumvi na Ndimu) na Michezo (Sports Arena) ili aoneshe kuwa, hakuna pengo la kazi zake, lakini ukweli ni kwamba, Diamond amekuwa akikereka sana, akashindwa kumvumilia, akamtumia barua ya kumwachisha kazi," kiliongeza chanzo hicho.
Naona upo na mnyama anayemkimbiza samsung kwenye mauzo kwa mwezi huu.xiaomi redmi gani hiyo?Kurudi Tu efm watu wamepanda na dauView attachment 1888107
Mkataba wa kitenge alikuwa analipwa 600k per month hivo Kuna vipengele vikawa vinampa Uhuru wa kwenda safari zake ili arikave kwahiyo suala la kuondoka ni kwa mutual understanding baina ya wasafi na kitenge maana mkataba imeisha katika kutaka waingie mkataba mpya wasafi wakataka kumlimit safari za nje kwa madai hata boss wake hasafiri Mara kwa Mara na wakaahidi kumlipa 650k per month kutoka 600k per month
Alikua na wake wangapi?Nachojiuliza tu kwanini aliachana na wake zake wote kwa mkupuo?
Sio anakimbiza,amewapiga bao wote hadi iphoneNaona upo na mnyama anayemkimbiza samsung kwenye mauzo kwa mwezi huu.xiaomi redmi gani hiyo?
Wawili ama watatuAlikua na wake wangapi?
So now jimbo liko wazi?Wawili ama watatu
Kama ukitakaSo now jimbo liko wazi?
Sitaki kuamini umeuliza 600k za US$!? Sasa hiyo hela si inaweza kuzidi uwekezaji wote wa wasafi media!600k usd au Tzs?