Jamaa ni Tiss pandikizi la kwenye vituo vya habari humo! Alikusanya data za IPP akaja huko EFM na kisha Wasafi tutegemee arudi EFM ambako akisafiri safiri hovyo haulizwi
Hivi Kitenge kama ni mpambanaji kwa nini nae asijiajiri kwa kufungua hata radio station yake mwenyewe?
Maana toka nakua jina lake nalisikia tu kwenye tasnia ya habari