Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania. Alikuwa muuaji, mwizi wa mali ya umma na mwongo, mkandamiza demokrasia na mtu asiyefuata utawala wa sheria. Kama angekuwa bado hai leo hii Taifa letu lingekuwa na mpasuko mkubwa kiuchumi kisiasa na kijamii kuliko zilivyo Yemen na Somalia. Tuendelee kumshukuru Mungu kwa kutuondolea yule shetaniAliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.
Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.
Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.
Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Political maturity. Jpm alikuwa Bado ana political immaturity na urais alisumuziwa tu kama yeye mwenyewe alivyosemaKwa akili zako MTU kutukana bial kosa nakuacha ndo ustaarabu wa Rai's?
kawaulize CHADEMA hivyo vyombo vya habari habari zao zimeandikwa wapi?Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.
Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.
Kutafuta kuwauza waTanzania utumwani, nalo limekuwa jambo la kujivunia siku hizi?Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.
Ni kichaa peke yake asiyweza kuona kazi kubwa ya awamu ya TanoAliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.
Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.
Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.
Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
vimtu vingine havina akili kabisaMjane wa Marehemu povu kama lote lilipotajwa shetani lenu la Chato!
Habari za chadema zinaandukwa na Tanzania daima ambayo lilifungiwa kipindi Cha jpm Sasa lipo huru kuandika kila kitukawaulize CHADEMA hivyo vyombo vya habari habari zao zimeandikwa wapi?
Wewe hata propaganda ya kijinga huwezi kuitunga. Angalia mfano huu hapa chini:
Kutafuta kuwauza waTanzania utumwani, nalo limekuwa jambo la kujivunia siku hizi?
Naomba unielewe vizuri, mimi simtetei huyo unayesema alikuwa na kelele nyingi sana, lakini ukimlinganisha huyo mwenye kelele na huyu anayelembua macho katika mambo mengi, ni bora nibaki na huyo mwenye kelele, ambaye kuna mambo hadi sasa yanaonekana.
Huyu anayekuwezesha wewe kwenda chooni wewe na kuja hapa na mada kama hii, ni janga kwa nchi yetu.
Unaitwa nani vile, 'Mkungunero'? Inabidi nikariri jina hili ili nisipoteze muda wangu kusoma ujinga .
Na hivyo vingine vyote vimezuiwa na nani kuandika habari za CHADEMA?Habari za chadema zinaandukwa na Tanzania daima ambayo lilifungiwa kipindi Cha jpm Sasa lipo huru kuandika kila kitu
Havijazuiwa Bali ni biashara tu. Wale wamiliki waliona chadema wameongea kisichouzika hawaandiki pumba. Kumbuka hawaandiki tu kujifurahisha wanaandika ili wauze mana hawana ruzuki kutoka serikaliniNa hivyo vingine vyote vimezuiwa na nani kuandika habari za CHADEMA?
Ruzuku ya Nepy na yule comical Abbas wewe huijui?Havijazuiwa Bali ni biashara tu. Wale wamiliki waliona chadema wameongea kisichouzika hawaandiki pumba. Kumbuka hawaandiki tu kujifurahisha wanaandika ili wauze mana hawana ruzuki kutoka serikalini
Ruzuku Huwa inatoka serikalini na Huwa inajulikana kisheria ili CAG awese kuikagua.Ruzuku ya Nepy na yule comical Abbas wewe huijui?
Kwanza nimekuvumilia sana.
Acha upumbavu.
Nshamalizana nawe.Ruzuku Huwa inatoka serikalini na Huwa inajulikana kisheria ili CAG awese kuikagua.
Mshauli mama apangishe Kwa muda maarum Ili mkikaa sawa mlime nyie.nguo zikiisha utatembea tu uchiKwa hiyo nitembee uchi kisa shamba naliangalia tu
Siyo majizi Sena mahasimi wake wa kisiasa alikuwa na inferiority complex kwa sababu hakuamni kama angekuwa rais ndo mana alivurunda kila pahalaSema Magu majizi mengi sana aliyatoa kwenye reli, kile kibano mpaka leo bado yanapiga mayowe....
Bi.tozo anaupiga mwingi au sio?
Mdude sio chombo cha habari. Taja chombo kinachorusha hewani habari kwa uhuru, za uchambuzi, za matatizo ya umeme, mfumuko wa bei, makodi ya wizi, ya uzembe wa Rais, ya ufisadi.Mdude kila siku anatukana kupitia twita na popote pale hajapotezwa. Ingekuwa enzi zile tubgekuwa tunaongra mengine. Hata slaa Sasa hivi anatukana tu anvyojisikia
Kwani mkuu ukichangia hoja yako bila matusi unapungua nini? Pinga hoja yake kwa kuweka mazuri ya unayemtetea.Ukiwa shoga ni hasara sana kwa taifa na familia kwa ujumla.
Mpumbavu unakaa na kuanzisha mada ya kichoko kumpinga mtu mmoja mwenye akili ya kuongoza taifa na kum compare na garasa flani. Your azz should be sorry to be installed in that body
Alivurunda wapi?Siyo majizi Sena mahasimi wake wa kisiasa alikuwa na inferiority complex kwa sababu hakuamni kama angekuwa rais ndo mana alivurunda kila pahala