Huyo kwa manyimbo haya ka Cinderella ndo aipeleke Bongo fleva international?To be honest Wimbo wa Diamond unaoitwa Baba lao ni wimbo mbovu saaana, unaweza ukatoa back to back Ila kama Ngoma ni Kali wala hamna taabu , kumbe idea ya Kiba inaweza ikawork ,unatoa Ngoma moja lakn ya ukwel, mshumaaa ni bonge la pini,
Ndo nashangaaHuyo kwa manyimbo haya ka Cinderella ndo aipeleke Bongo fleva international?
Endelea kuombea afike mwisho wakati ukitazama tv yake au kusikiliza radio yake na kumfatilia kwa sanaaa.nimeona kwenye video eti wanachez ukuti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...domo hana jipya uwezo wake umefika omega#R.I.Pdomo
Hatujali muhimu ni smash hit currentlyWimbo wa kampeni huo
MLUGURU macho yamemtoka pale kijitonyama , anashangaa inawezekana bila cloudsIle tabia ya kujifanya unatoa nyimbo mpya kila siku ndio haswa imemponza huyu msanii na kujikuta kuishiwa uwezo wa kutunga nyimbo mpya ili kuweza kukata kiu ya mashabiki wake.
Hili swala la kugelezea kazi za wasanii wenzie wa kimataifa rejea nyimbo ya Soapy ni dalili ya wazi kabisa kuwa msanii huyu anajiondoa katika medani za kimataifa kwani mafanikio ya wimbo kama huu wa baba lao hautaweza kumuweka katika mizani yoyote ya kimataifa zaidi zaidi ni kwa matumizi ya ndani ya nchi hususani vijijini tu.
Twende kijitonyama mkuu , ndio kwanza.asubuinimeona kwenye video eti wanachez ukuti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...domo hana jipya uwezo wake umefika omega#R.I.Pdomo
*rizikiKila mja na ridhki yake
We jamaa kweli ni kijambio plus msukuleHatujali muhimu ni smash hit currently
Wasanii uchwara bongo(wanawaza ccm tu namapeziIle tabia ya kujifanya unatoa nyimbo mpya kila siku ndio haswa imemponza huyu msanii na kujikuta kuishiwa uwezo wa kutunga nyimbo mpya ili kuweza kukata kiu ya mashabiki wake.
Hili suala la kugelezea kazi za wasanii wenzie wa kimataifa rejea nyimbo ya Soapy ni dalili ya wazi kabisa kuwa msanii huyu anajiondoa katika medani za kimataifa kwani mafanikio ya wimbo kama huu wa baba lao hautaweza kumuweka katika mizani yoyote ya kimataifa zaidi zaidi ni kwa matumizi ya ndani ya nchi hususani vijijini tu.
Fvck u[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]makonda baba lao,giggy money babalao,menina babalao[emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa Zabibu Kiba tumekuelewa [emoji16][emoji16]Video kali ni ipi mkuu kwani hukuona hata idea ya video kakopi nayo.